Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Historia ya msanii Alikiba kuanzia mwaka 2005-2019 Bongo Flevani
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
December 5, 2023
Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+
December 5, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Historia ya msanii Alikiba kuanzia mwaka 2005-2019 Bongo Flevani
Habari za Mastaa

Historia ya msanii Alikiba kuanzia mwaka 2005-2019 Bongo Flevani

November 14, 2019
Share
3 Min Read
SHARE

Ni msanii wa Bongo Fleva Alikiba mwenye umri wa miaka 32 ambae headlines zake zilianza mwaka 2005 ambapo kupitia wimbo wa msanii Abby Skillz alijulikana baada ya kushirikishwa katika wimbo uitwao Maria

Safari ya Alikiba ikamuendelea murua ambapo mwaka 2007 aliachia rasmi album yake ya kwanza yenye jina la ‘Cinderella’ yenye nyimbo 15 ambazo zilizopendwa na kukubali.

Ilipofika mwaka 2010 Alikiba alipata shavu kubwa la kuwa miongoni mwa wasanii walioshiriki kuimba wimbo wa Hands Across the World uliyosimamiwa na Staa R Kelly na kusambazwa na Sony Music & Rockstar4000.

Hands Across the World ni wimbo uliokutanisha wasanii 8 kutoka mataifa tofauti Afrika akiwemo, R.Kelly, 2Face, 4×4, Alikiba, Amani, Fally Ipupa, JK, Movaizhaleine & Navio

 

Ukimya wa Alikiba ulianza mwaka 2010 ambapo mkali huyo aliamua kukaa kimya takribani miaka 4 na aliporudi mwaka 2014 kwenye muziki  wa Bongo Fleva aliachia video ya wimbo wake mpya uitwao MWANA.

MWANA ulikuwa ni wimbo wa kwanza uliosimamiwa na lebo ya Rockstar4000 enzi hizo chini ya meneja Seven Mosha, baada ya hapo zikafuata mwendelezo wa hits mbalimbali kali zikiwemo, Seduce Me, Aje, Lupela, Chekecha Cheketua, Kadogo, Mvumo wa Radi na nyinginezo kali

Safari yake ya muziki ikaendelea na ilipofika mwaka 2016 staa huyo alisainiwa na Sony Music ambapo mnamo tarehe 19 mwezi mei Alikiba alifika nchini Afrika Kusini katika ofisi za Sony Music kusainiwa rasmi.

Moja ya kazi za mkataba huo ni kumtengeneza Alikiba kwenye kiwango cha juu zaidi kimuziki, kibiashara na kugharamia video zake na anaporekodi audio zake, kila anapotoa muziki mpya unaachiwa kwa nguvu ya usimamizi wa Sony Music kwenye masoko makubwa ya muziki kama Marekani, Ulaya na Africa.

Unaambiwa mkataba aliokuwa ameusaini Alikiba unafanana na ule aliosaini mwimbaji staa wa Nigeria Davido ambapo una vipengele vya kusababisha collabo kwa urahisi zaidi na mastaa wakubwa wakiwemo wa marekani.

Baada ya kusainiwa na Sony Music tukazishuhudia hits kali na collabo mbalimbali zilizochukua vichwa vya habari

Safari ya Alikiba ikaendelea kupamba moto kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva ambapo mwaka 2018 aliamua kuwatambulisha rasmi wasanii wake anaowasimamia katika lebo yake iitwayo King Music Records

Wasanii hao ni Cheed, K2ga, Killy ambapo single yao ya kwanza ilitambulika kwa jina la Mwambia SINA, Baada ya hapo zikafuata mfululizo wa hits mbalimbali ikiwemo Rhumba, Toto 

Kwasasa Alikiba anazimiliki spika za radio kwa wimbo wake uitwao Mshumaa ambao aliuachia rasmi tarehe Novemba 8, 2019 ambapo kupitia mtandao wa youtube, video ya wmbo huo umetazamwa zaidi ya watu 1,315,488 huku ukishika nafasi ya pili kwa kuendelea kufanya vizuri na kutazamwa.

 

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: alikiba, bongo fleva, One8
Edwin TZA November 14, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mkamia amuambia Waziri Mkuu “Tuwe wakweli kuna njaa”, akubali kweli njaa ipo (+video)
Next Article VideoMPYA: Abdukiba katuletea mdundo mpya kamshirikisha G nako
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
Top Stories December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
Top Stories December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
Sports December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
Sports December 5, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

December 5, 2023
Sports

Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi

December 5, 2023
Top Stories

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

December 5, 2023
Top Stories

Vita dhidi ya watoto ‘kila kukicha’ kusini mwa Gaza-UNICEF

December 5, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?