Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Video:Kesi ya Zitto Kabwe mahakama yapanga kutoa hukumu ‘Tumefunga ushahidi’
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Video:Kesi ya Zitto Kabwe mahakama yapanga kutoa hukumu ‘Tumefunga ushahidi’
Top Stories

Video:Kesi ya Zitto Kabwe mahakama yapanga kutoa hukumu ‘Tumefunga ushahidi’

April 3, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inatarajia kupanga tarehe ya hukumu katika kesi ya uchochezi inayomkabili mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe baada ya kufungwa kwa ushahidi wa utetezi wa mashahidi 8.

Ushahidi huo umefungwa baada ya shahidi wa nane, Nassib Kapagila kutoa ushahidi wake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi anbapo Wakili wa utetezi, Jebrah Kambole akaieleza mahakama hiyo kuwa wamefunga ushahidi wao.

Baada ya kueleza hayo Hakimu Shaidi akaamuru pande zote kuwasilisha hoja za mwisho kabla ya Aprili 28 na kesi kurudi tena Aprili 29, 2020 kwa ajili ya kupanga tarehe ya hukumu.

You Might Also Like

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

TAGGED: Dar es salaam, Mahakamani, Posta, Zitto Kabwe
Edwin TZA April 3, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA:Drake baada ya kufanya vizuri kwenye mtandao ‘TikTok’ kaileta nyingine
Next Article VideoMPYA: Nav & Gunna wakiwa na Travis Scott ‘Turks’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?