Wakati Dunia ikipambana na ugonjwa wa Corona (Covid 19), Mtanzania Moses Hella ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Teknolojia ya Emotec kwa kushirikiana na Kampuni kubwa Duniani wametengeneza Camera zenye uwezo wa kupima Joto la Binadamu ili kubaini kama ni muathirika wa Corona.
VIDEO:Mtanzania aja camera za kupima joto ‘Zinatambua sura ya mwenye tatizo’
Leave a comment
Leave a comment