NI April 21, 2020 ambapo Mfanyabiashara Rostam Azizi amekabidhi mashine maalumu kwaajili ya kujikinga na Ugonjwa wa Covid-19 kwenye Bunge la Jamhuri la Tanzania mkoani Dodoma, sasa hapa Wabunge wamefunguka baada ya kuanza kutumia mashine hizo za kujikinga na Ugonjwa huo.
Video:Wabunge wafunguka baada ya kuanza kutumia mashine za kujikinga Corona
Leave a comment
Leave a comment