Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wakiongozwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Pius Chatanda wamewasili katika Viwanja vya Karimjee,Posta Jijini Dar es Salaam tayari kwa kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Hayati Edward Ngoyai Lowassa.
Viongozi wa UWT taifa msibani kwa Lowassa ,viwanja vya Karimjee,Posta Jijini Dar es Salaam
Leave a comment
Leave a comment