Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Vita Ukraine: Urusi waonya hatari ya kutokea kwa vita ya tatu ya dunia
Share
Notification Show More
Latest News
PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Vita Ukraine: Urusi waonya hatari ya kutokea kwa vita ya tatu ya dunia
Top Stories

Vita Ukraine: Urusi waonya hatari ya kutokea kwa vita ya tatu ya dunia

April 27, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergey Lavrov ameonya hatari ya kutokea kwa vita vya tatu vya dunia huku akiitaja Nato kuwa ndio kiini cha suala hilo.

Katika mahojiano ya muda mrefu yaliyotangazwa na televisheni ya taifa ya Urusi , Lavrov alisema hatari ya mzozo wa nyuklia haipaswi kupuuzwa na kwamba msingi wa makubaliano yoyote ya kumaliza mzozo wa Urusi na Ukraine utategemea zaidi hali ya kijeshi baina ya mataifa hayo mawili.

Lavrov alishutumu vikosi vya Nato kwa kwa kusambaza silaha kwa wanajeshi wa Ukraine na kudai Urusi ilitaka kuzuia vita vya nyuklia kwa gharama yoyote. Akinukuliwa katika mahojiano na mashirika ya habari ya Urusi Waziri huyo alisema “Nato kimsingi inahusika katika vita na Urusi kupitia Ukraine na hivyo inampa Ukraine silaha jambo linaloweza kuzua hatari ya kutokea kwa vita vya dunia vya Nyuklia.

Waziri huyo wa mambo ya nje wa Urusi pia alikosoa mtazamo wa Kyiv katika mazungumzo ya amani na Moscow huku akisema “Kila Nia njema ina mipaka yake Lakini ikiwa hailingani, hiyo haisaidii mchakato wowote wa mazungumzo.”

Mahojiano hayo yalitangazwa saa chache baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken na Waziri wa Ulinzi Lloyd Austin kutembelea Kyiv na kuahidi msaada zaidi wa kijeshi kwa Ukraine.

Austin alisema Marekani ilitaka kuona Urusi inadhoofu na kuahidi kuipatia Ukraine silaha ili kuisaidia kushinda dhidi ya Moscow.

MWANZO MWISHO BASI LA WANA KWAYA NA LORI ZILIVYOGONGANA NJOMBE “DEREVA LA BASI KA-OVERTAKE”

You Might Also Like

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

Edwin TZA April 27, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kampuni ya gesi ya Urusi yaaitisha huduma Poland, Bulgaria
Next Article Video Mwanzo mwisho basi la wana kwaya na lori zilizovyogongana mkoani Njombe (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania
Sports August 11, 2022
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Top Stories August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

August 11, 2022
Top Stories

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?