Leo September 9, 2017 Kampuni ya Udalali ya Yono Auction Mat imepigwa mnada nyumba tatu za kifahari ambazo ni mali ya Lugumi Enterprises Ltd baada ya mmiliki wake kushindwa kulipa kodi kwa TRA.
Tazama hapa kujionea nyumba ya kwanza jinsi ilivyopigwa mnada na kupatikana mnunuzi.
https://youtu.be/fuRnPbSjcYA
Nyumba zinazopigwa Mnada DSM baada ya Mmiliki kushindwa kulipa kodi TRA
https://youtu.be/bytmiJB9UO8