Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Tamaduni 7 za Ndoa zitakazo kushangaza, huruhusiwi kutabasamu
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Tamaduni 7 za Ndoa zitakazo kushangaza, huruhusiwi kutabasamu
DunianiVituko/ Comedy

Tamaduni 7 za Ndoa zitakazo kushangaza, huruhusiwi kutabasamu

May 11, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

Wanasema tembea uone au subiria usimuliwe….. kuna sheria au tamaduni ambazo zinatumika kwenye nchi mbalimbali na ukiziangalia unakuta ni tofauti na ulivyozoea au hujawahi kabisa kudhani kama kuna tamaduni hizo duniani.

1: Congo: Hauruhusiwi kutabasamu siku ya ndoa

Ni jambo la kushangaza na kuajabisha lakini ni katika kutimiza mila na desturi, unaambiwa Bibi na Bwana harusi nchini Congo wanatakiwa kuiweka furaha yao kwenye mashavu, hawatakiwi kutabasamu siku nzima ya harusi na kama watafanya hivyo itachukuliwa kuwa hawakuwa serious kuhusu ndoa.

2: Ufaransa: Champagne kwenye bakuli la chooni

Wanandoa nchini Ufaransa kulingana na tamaduni za baadhi ya sehemu hutakiwa kula chocolate na kunywa champagne baada ya mapokezi, hilo sio tatizo, ishu ni hii kuwa wanatakiwa kutumia bakuli la chooni kunywea champagne ambapo lengo la utamaduni huu ni kuwapa uimara na uvumilivu katika ndoa yao.

3: Urusi: Anayekata kipande kikubwa cha keki ndiye kiongozi wa familia

Wanandoa wapya Urusi wanatakiwa kuchangia mkate wa asili unaoitwa karavaya ambapo yeyote kati yao atakayekata sehemu kubwa ama mume au mke bila kutumia mikono ndiye atakuwa kiongozi wa familia.

4: Pakistan: Bwana Harusi kuibiwa viatu

Dada wa bibi harusi na ndugu wengine wa kike wanaruhusiwa kuiba viatu vya Bwana harusi na kama anavitaka lazima avikomboe kwa pesa ili virudishwe vikiwa salama.

5: Fiji: Jino la Papa kwa baba mkwe

Utamaduni wa ndoa katika nchi ya Fiji ni kuwa pale Bwana harusi anapoomba ruhusa kwa baba Mkwe ili ashikane na Mwanamke wakati wa ndoa lazima ampe baba mkwe huyo jino la papa.

6: Mauritius: Bibi harusi lazima awe na uzito mkubwa

Katika ndoa za sehemu nyingi duniani, Mabibi harusi hufanya diet kurekebisha miili yao na kupunguza uzito kabla ya ndoa lakini sio hivyo kwa Mauritius, Wasichana wadogo wanalazimishwa kula ili waongezeke uzito wakati wa ndoa zao ambapo hii ni kwa sababu wanaamini kuwa Mwanaume lazima awe na uwezo wa kumlisha.

7: Jamaica: Bibi harusi hupita mtaani

Hii inapatikana katika vijiji vya Jamaica ambapo wanakijiji hujipanga mstari barabarani kumuangalia Bibi harusi kwa lengo la kutoa maoni kuhusu muonekano wake ambapo kama watu wengi wataupinga, atalazimika kurudi nyumbani kubadilisha kisha arudi tena hadi pale wayakaposema anapendeza.

FILAMU: Mume kaenda kazini, Wife kaleta Mchepuko nyumbani alafu Mume akarudi ghafla… TAZAMA HAPA CHINI

VIDEO: Shilole na Nuh Mziwanda walivyokutanishwa bila kujijua huku wakichukuliwa video, PLAY HAPA CHINI

You Might Also Like

Silent Ocean imetupitisha kwenye Masoko ya vifaa mbalimbali Dubai, tazama (video+)

Forbes wamtangaza Melinda alieachana na Bill Gate kuwa Bilionea mpya, ashika namba hii

machalii wa chuga waibuka na ugali mkubwa “Mbwa haruki”

Cheki style mpya balaa za chalii ‘R’ Chugga ‘Mbele mbele yao, kusoma ni usiku’

Padri anayehuburi Injili kwa ku-rap (+video)

TAGGED: duniani
Millard Ayo May 11, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA: Vanessa Mdee kashirikishwa na Mnigeria Reekado ‘move’
Next Article VIDEO: ‘Nitakimbia nchi nzima kueleza usaliti wa Wabunge’ –Kangi Lugola
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?