Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Waasi wa Yemen wamesema meli ya Israel imetekwa …
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Waasi wa Yemen wamesema meli ya Israel imetekwa …
Top Stories

Waasi wa Yemen wamesema meli ya Israel imetekwa …

November 20, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Waasi wa Houthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen, wamedai kuteka meli inayomilikwa na mfanyibiashara raia wa Israeli katika bahari ya Red Sea na wameipeleka pwani ya Yemen.

Tangazo hili limekuja siku chache baada ya wapiganaji hao kutishia kulenga mali zinazomilikiwa na Israeli katika bahari hiyo kutokana na vita vya na wapiganaji wa Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Msemaji wa Huthi Yahya Saree kupitia ukurasa wake wa X, zamani ukijulikana kama Twitter amethibitisha kutokea kwa kitendo hicho cha utekaji wa chombo hicho.

Mataifa ya Israel, Marekani na Japan yamelaani hatua ya wapiganaji hao kuteka meli hiyo.

Kwa mujibu wa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, chombo hicho kilikuwa kinamilikiwa na kampuni ya Uingereza na shughuli zake zilikuwa zinaendelezwa na kampuni ya nchini Japan.

 

You Might Also Like

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA November 20, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Baada ya miezi 7 ya vita, Sudan inakabiliwa na hatari ya kusambaratika
Next Article Morocco yaandaa mashindano ya Polo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
Top Stories December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023

You Might also Like

Entertainment

‘Ulivyo muongo, ndivyo mzunguko wako utakuwa mkubwa’ – Burna Boy

December 8, 2023
Entertainment

‘Hii ni sababu ya kwa nini napenda familia zenye wake wengi’ – Teni

December 8, 2023
Entertainment

Rapper Kodak Black, akamatwa baada ya kupatikana na dawa za kulevya aina ya cocaine

December 8, 2023
Entertainment

Daddy Yankee, amestaafu rasmi muziki sasa ‘kuhubiri ulimwengu habari za Yesu’

December 7, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?