Kuanzia kesho tarehe April 17, 2020 wagonjwa, ndugu wa wagonjwa na wadau watakaofika Taasisi ya Tiba ya Mifupa- MOI kupata huduma watatakiwa kuvaa barakoa (Mask), lengi ikiwa ni kuwakinga na maambukizi ya Corona Virus.
Wagonjwa na ndugu marufuku kuingia Hospital MOI bila mask
Leave a comment
Leave a comment