Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameonesha dalili ya lockdown kulegezwa “hatuwezi kuendelea kusema Wakenya tukae nyumbani msiende kazini au kwenye biashara zenu, nimewaambia Mawaziri wetu waanze kuwaeleza Wakenya kwamba hatuwezi kuendelea na lockdown”.
Wagonjwa wa Corona 1192, Kenyatta “hatuwezi endelea kukaa lockdown” (+video)
Leave a comment
Leave a comment