Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Walichozungumza Rais wa FIFA na Trump
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Walichozungumza Rais wa FIFA na Trump
Sports

Walichozungumza Rais wa FIFA na Trump

September 17, 2020
Share
2 Min Read
SHARE

Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA Gianni Infantino mapema leo amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump kujadili juu ya mustakabali wa michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2026 inayotarajiwa kufanyika nchini Marekani pamoja na nchi jirani za Mexico pamoja na Canada.

Tenda ya nchi hizo ya kuandaa fainali hizo za kombe la dunia ilipitishwa na wajumbe wa Shirikisho la soka dunia FIFA mwaka 2018 kwa kupata ushindi kwa kupigiwa kura 134 na kuwapiku wapinzani wake Morocco waliopata kura 65.

Infantino na Rais Trump pia wameongea kuhusu kuanzisha makao makuu ya shirikisho hilo la soka duniani FIFA nchini marekani vile vile walifanya mapitio ya ukamilifu wa maandalizi ya mashindano hayo makubwa soka duniani.

Ikukmbukwe kwa mara ya mwisho Marekani ilikua mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia mwaka 1994.

Infantino pia alitembelea ofisi za utoaji haki za marekani “US Deparetment of Justice’ na kuyashukuru mashirika ya Nchi hiyo kwa kazi yao nzuri ya kupingana na rushwa katika mpira wa miguu.

Rais wa FIFA, Gianni Infantino amekutana na Rais wa Merika Donald Trump kujadili Kombe la Dunia la 2026, ambalo litafanyika kwa pamoja nchini humo pamoja na Mexico na Canada.

“Tangu nilipochaguliwa, tumeonyesha dhamira yetu ya kutokomeza vitendo vibaya ambavyo vilichafua sifa ya Fifa hapo zamani” Infantino

“Tumesisitiza nia yetu ya kushirikiana na kusaidia mamlaka katika uchunguzi wao na mashtaka ya rushwa, ambayo haina nafasi katika mpira wa miguu.” Infantino pia alihudhuria kusainiwa kwa makubaliano ya kihistoria kati ya Bahrain, Israel na Falme za Kiarabu, ambayo yalifanywa katika Ikulu ya White House.

DUUH! KANYE WEST AKOJOLEA TUZO YA GRAMMY “SITOACHA”

You Might Also Like

Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

TAGGED: michezo
Pascal Mwakyoma TZA September 17, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kinda wa Ghana mwenye ndoto ya kuichezea Korea Kusini
Next Article “Mimi Urais nitashinda tu tena kwa kura nyingi sana” JPM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
Mix August 18, 2022

You Might also Like

Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

August 17, 2022
Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

August 13, 2022
MixTop Stories

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

August 11, 2022
Mix

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?