Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Walimu Wakuu 40 wavuliwa vyeo vyao
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Walimu Wakuu 40 wavuliwa vyeo vyao
Top Stories

Walimu Wakuu 40 wavuliwa vyeo vyao

January 19, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Zaidi ya Wakuu wa Shule na walimu wakuu 40 wameondolewa katika nyadhifa zao katika mkoa wa Kagera baada ya shule tano za msingi kufutiwa matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu darasa la saba mwaka jana

Huu ni utekelezaji wa agizo la Waziri ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Angellah Kairuki alilolitoa kwa Mkuu wa Mkoa huo Albert Chalamila

Akizungumza katika kikao kazi cha tathimini ya utelekezaji wa mkakati wa elimu na uwekaji wa mpango kazi wa utekelezaji kwa mwaka 2023 kilichoendeshwa na waziri wa TAMISEMI Angellah Kairuki, Chalamila amesema kuwa utaratibu wa kuondoa watumishi wasio waadilifu hasa katika sekta ya elimu unaendelea

“Nadhani mkoa wa Kagera uliongoza kwa shule nyingi kufutiwa, katika asilimia 100 sisi tulikuwa na asilimia 25, maana yake kulikuwa na ishara za udanganyifu, na wewe ulinielekeza mimi kwa ukali mkubwa sana kwamba kama kuna walimu wanahusika katika udanganyifu huo waondolewe kwenye nyadhifa zao, ili wengine waingie na mkoa uweze kupata maendeleo, hili limefanyika na linaendelea” Chalamila.

Kwa upande wake Waziri wa TAMISEMI Angela Kairuki amewataka viongozi katika nafasi zao kuimarisha uwajibikaji wa watumishi ili kuleta tija katika sehemu zao za kazi, lakini pia akasisitiza kuondoa utoro wa wanafunzi na walimu ambao ni viongozi huku mahudhurio yao kazini yakiwa ni hafifu.

“Zipo tuhuma wapo walimu na wapo viongozi wengine katika sekta zetu ni walevi, na baadhi yenu wanakunywa pombe saa za kazi, yaani wanaonekana katika vilabu vya pombe muda ambao wanapaswa kuwa kazini, hili likome mara moja” Kairuki.

Nao baadhi ya washiriki wa kikao hicho wameiomba serikali kuendelea kuondoa changamoto zinazoikabili sekta ya elimu, ili kuweka mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia, kwa lengo la kuinua kiwango cha ufaulu.

SHAKA AONDOLEWA, SOPHIA MJEMA AMRITHI ITIKADI NA UENEZI “SOPHIA MJEMA ANACHUKUA NAFASI YANGU”

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 19, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article “Miundombinu TANESCO imeimarika, wateja wapya zaidi ya elfu thelathini” Makamba
Next Article RC Mtaka akamata wanapo chakachua mbolea
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?