Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Walioingia kazini bila kuchanjwa wafukuzwa
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Walioingia kazini bila kuchanjwa wafukuzwa
Top Stories

Walioingia kazini bila kuchanjwa wafukuzwa

August 6, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Kituo cha Televisheni cha Kimataifa cha CNN cha nchini Marekani kimewafukuza kazi Watumishi wake watatu kwa kukiuka sera ya kampuni hiyo kwa kuingia kazini bila ya kuwa wamechanja chanjo dhidi ya Covid-19.

Mapema jana Alhamisi, Mkuu wa CNN, Jeff Zucker aliwakumbusha kwa maandishi Wafanyakazi wa kituo hicho kwamba chanjo ni lazima kama watapaswa kufika kazini, hata hivyo uongozi wa kituo hicho haujatoa taarifa zaidi kuwahusu waliofukuzwa, au hata vituo vyao vya kazi.

Kutokana na hali tete ya maambukizi ya virusi vya Corona kituo hicho cha Kimataifa kimesitisha mpango wake wa kuwarejesha Wafanyakazi wake kwa kiwango kikubwa, kama ilivyokuwa imepangwa awali September 7, kwa hivyo zoezi hilo linatarajiwa kufanyika katikati ya October.

Kwa zingatio la sababu kama hiyo vyombo vingine vya habari vimefuata mkondo kama huo.

KILICHOTOKEA MAHAKAMANI BAADA YA MBOWE KUFIKISHWA, ULINZI WAIMARISHWA

You Might Also Like

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA August 6, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mbowe alivyofikishwa Mahakamani (+video)
Next Article Rapper Kanye West na Jay Z kuja na Album yao mwishoni mwaka huu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?