Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Waliokufa wakifunga kukutana na Yesu wafikia 73.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Waliokufa wakifunga kukutana na Yesu wafikia 73.
Top Stories

Waliokufa wakifunga kukutana na Yesu wafikia 73.

April 25, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Polisi Nchini Kenya wamesema maiti za Waumini wa Kanisa la Good News International Church linaloongozwa na Mchungaji Paul Mackenzie, ambaye anashikiliwa na Polisi kwa madai ya kuwataka Waumini wake kufa njaa ili kufika Mbinguni kwa haraka, zimefikia 73, miili hiyo imegundulika eneo la Kilifi.

Maiti hizo zimefukuliwa kwenye makaburi ya jumuiya yaliyopo msituni, Mkuu wa Upelelezi wa Kaunti ya Kilifi, Mashariki ya Kenya, Charles Kamau amethibitisha idadi hiyo na ameliambia Shirika la Habari la Reuters kwamba Watu wengine watatu wamekamatwa.
Rais wa Kenya, William Ruto amesema Kiongozi huyo wa Jamii hiyo ya kikristo ni Mhalifu na Gaidi mkubwa, Paul Mackenzie alikamatwa takriban wiki mbili zilizopita baada ya fununu juu ya kuwepo kwa makaburi yaliyokuwa na maiti 31 za Wafuasi wake.

Wafuasi wa Kania la Good News International walikuwa wanaishi kwa kujitenga kwenye eneo la ekari 800 za msitu wa Shakahola nchini Kenya, inadaiwa waliagizwa kufunga mpaka kufa ili kuweza kukutana na Yesu, Idara ya upelelezi ya nchini Kenya imesema Watu 33 wameshaokolewa hadi sasa huku Shirika la msalaba mwekundu la nchini Kenya likisema Watu 112 hawajulikani walipo.

You Might Also Like

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA April 25, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wanaokula chips hatarini kupata Depression.
Next Article Rais Joe Biden atangaza mipango ya kugombea tena uchaguzi wa 2024.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?