Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Coke Studio Afrika imeanza, wasanii watano wa Tanzania wamechaguliwa
Share
Notification Show More
Latest News
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
August 11, 2022
Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Makambako
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Coke Studio Afrika imeanza, wasanii watano wa Tanzania wamechaguliwa
Mix

Coke Studio Afrika imeanza, wasanii watano wa Tanzania wamechaguliwa

February 11, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Msimu Mpya wa Coke Studio Africa umezinduliwa rasmi Tanzania katika hafla iliyofanyika Life Park Club Mwenge Dar es Salaam.

Akizungumza mbele ya wageni waalikwa Mkurungezi mkuu wa Coca cola Kwanza Basil Gadzios alikiri kufurahishwa vipaji na uwezo wa wasanii watanzania watakao shiriki kwenye msimu huu mpya.

Tanzania itawasikilishwa na wasanii tano watakaotumbuiza katika msimu wa sita wa Coke Studio, wasanii hao ni Faustina Charles’ Nandy’, Raymond Mwakyusa’Rayvanny’, Rajabu Abdul’Harmonize’, Juma Jux na Mimi Mars, wasanii hao wataungana na wasanii wengine 20 kutoka nchi mbalimbali za Afrika.

Kwa upande wao wasanii akiwemo Rayvanny alisema anashukuru kuwa mmoja wasanii watakaotumbuiza katika msimu huu huku akieleza hii ni mara yake ya pili.

Naye Nandy alisema kushiriki Coke studio kunakusaidia kukutana na wasanii kutoka Africa wenye vipaji lukuki…nafasi hii kwa msanii yoyote ni kitu chakujivunia sana na pia inasaidia kutengeneza kazi tofauti na kufanya jina au brand ya msanii kuimarika na nguvu katika soko la muziki Africa na dunia nzima.

Nandy alisema Coke studio ni kitu kikubwa, na hakuwahi kutegemea kukutana na msanii mkubwa kama Skales kutoka nchini Nigeria ambaye ameurdia wimbo wake wa Ninogeshe na kunuelezea kuwa ni msanii ambaye ana ushirikiano mzuri.

You Might Also Like

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

Kampuni ya PAET imewekeza Dola Milioni 70 uendelezaji gesi

TAGGED: bongofleva news
Rama Mwelondo TZA February 11, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wilaya ya Kisarawe imepewa sapoti ya vitabu, kazi kwao kutokomeza zero
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania February 11, Hardnews, Udaku na Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
Top Stories August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Top Stories

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

August 11, 2022
Top Stories

Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Makambako

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?