Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wanandoa wafariki baada ya kula Samaki wenye sumu aina ya Fugu bila kujua .
Share
Notification Show More
Latest News
Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Wanandoa wafariki baada ya kula Samaki wenye sumu aina ya Fugu bila kujua .
Top Stories

Wanandoa wafariki baada ya kula Samaki wenye sumu aina ya Fugu bila kujua .

April 12, 2023
Share
3 Min Read
SHARE

Ng Chuan Sing na mkewe, Lim Siew Guan, takriban katika miaka yao ya 80, walinunua samaki aina ya puffer bila kujua kutoka kwa mchuuzi wa mtandaoni huko Johor na wakamla Machi 25 na kulingana arida la PEOPLE, binti yao Ng Ai Lee alisema wazazi wake walinunua samaki mara kwa mara kutoka  mchuuzi huyo kwa miaka mingi na aliamini baba yake asingali nunua kitu ambacho kingehatarisha maisha yao.

Baada ya kula samaki hao, Lim alipata shida kupumua na kutetemeka huku mumewe akianza kupata dalili kama hizo saa moja baadaye nipo Walisafirishwa hadi hospitali ya eneo hilo, ambapo Lim alitangazwa kuwa amekufa saa kadhaa baadaye saa 7:00 p.m. Sing nae akafariki siku ya Jumamosi.

“Wale waliohusika na vifo vyao wanapaswa kuwajibika pia ninatumai serikali ya Malaysia itaimarisha utekelezaji na kusaidia kuongeza uelewa wa umma juu ya sumu ya pufferfish ili kuzuia matukio kama haya kutokea tena,” Lee alisema.

Samaki Pufferfish ambe pia anajulikana kama fugu, ni moja ya chakula kitamu huko Japani, lakini pia hutumiwa katika nchi zingine, pamoja na Malaysia. Nchini Malaysia, samaki aina ya pufferfish mara nyingi hutumika kwa kuwekwa kwenye sehemu ya sahani inayoitwa “Yee Sang,” sahani ya kitamaduni inayoliwa wakati wa sherehe za Mwaka Mpya wa Kichina.

Ini, ovari na ngozi, miongoni mwa sehemu nyingine katika samaki huyo wa  Kijapani  aina puffer zinaweza kuwa na hatari ya kiasi cha tetrodotoxin, aina ya neurotoxin yaani samaki huyu ana sumu mara mia kutofautisha sehemu nyingine  kadhaa  za samaki huyo zenye sumu ya kutosha kusababisha kifo cha  cha ghafla wani takati wakumtengeneza samaki huyu uangalifu mkubwa lazima uchukuliwe ili kuhakikisha kwamba sehemu hizi zimeondolewa vya kutosha na kwamba hazichafui nyama/minofu ya samaki huyu.

Nchini kote, kuna takriban kesi 20-40 za sumu ya fugu kwa mwaka, na kati ya vifo 0-3. Vifo vingi hutokea kama matokeo ya watu kukamata na kujaribu kuandaa samaki wenyewe au wakati wa kula wamedai kupewa ini yenye sumu.

Dalili za kula samaki aina ya pufferfish/fugu ni pamoja na kuwashwa kwa midomo na kizunguzungu kulingana na CNN, dalili zinaweza kuanza dakika 20 baada ya kula samaki hata  hivyo, kuuza bidhaa zenye sumu si lazima kuwa kinyume cha sheria nchini Malaysia lakini kunadhibitiwa sana. 

Nchini Malaysia, uagizaji, uuzaji na utumiaji wa samaki aina ya pufferfish unakabiliwa na leseni kali na udhibiti wa serikali.

Nchini Malaysia, wapishi walio na leseni na waliofunzwa pekee ndio wanaoruhusiwa kutayarisha na kuhudumia samaki aina ya pufferfish/fugu na lazima wafuate miongozo madhubuti ili kuhakikisha kuwa samaki ni salama kwa matumizi zaidi ya hayo, uagizaji wa samaki aina ya pufferfish unadhibitiwa sana ili kuhakikisha kuwa samaki walio salama na waliotayarishwa ipasavyo pekee ndio wanaouzwa nchini.

You Might Also Like

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA April 12, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha: Kampuni ya GSM yafanya hili katika shule ya ‘Wama Nakayama’ Mkoani Pwani
Next Article TALIBAN:Marufuku ya Wanawake wa Afghanistan kufanya kazi UN ni suala la ndani “uamuzi huu unapaswa kuheshimiwa na pande zote”.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
Top Stories June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

June 3, 2023
Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?