Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wanaorekodi video video za matukio Shuleni waonywa
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Wanaorekodi video video za matukio Shuleni waonywa
Top Stories

Wanaorekodi video video za matukio Shuleni waonywa

February 2, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesimama Bungeni leo na kutoa ufafanuzi na mwelekeo wa Serikali kuhusu changamoto ya nidhamu, malezi na adhabu zinazotolewa Shuleni, taarifa hii ameitoa ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa taarifa zenye kuonesha matukio mengi dhidi ya Watoto kwenye Jamii na Shuleni.

Majaliwa amesema Serikali haitafumbia macho wala kukubaliana na aina ya adhabu kali Shuleni na tayari Serikali imechukua hatua za kinidhamu kwa Wahusuka huku akiwakumbusha Mamlaka za Elimu nchini kuhakikisha utoaji wa adhabu Shuleni unazingatia waraka namba 24 wa mwaka 2002 ambao umeainisha utaratibu wa utoaji wa adhabu.

Majaliwa ameesema baadhi utaratibu uliotolewa kwenye waraka huo ni pamoja na adhabu kuzingatia ukubwa wa kosa, jinsia na afya ya Mtoto na isizidi viboko vinne kwa wakati mmoja, pia Mwanafunzi wa kike anapaswa kupewa adhabu ya viboko mkononi na Mwalimu wa kike isipokuwa Shule hiyo kama haina Mwalimu wa kike, adhabu ya viboko itakapotolewa iorodheshwe katika kitabu kilichotengwa kwa kuonesha jina la Mwanafunzi, kosa alilotenda, idadi ya viboko na jina la Mwalimu aliyetoa adhabu.

Aidha Waziri Mkuu ametoa wito kwa wanaopata matukio haya kuwasilisha taarifa kwa Mamlaka husika na sio kuyarusha kupitia mitandao ya kijamii jambo ambalo linaleta taharuki na kwamba lengo sio kuficha taarifa bali ni kuzuia chuki na uhasama ndani ya Jamii na sio kwa Walimu tu bali kwenye nyanja zingine za utumishi kama Afya n.k.

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA February 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Next Article Gharama ya kupunguza uzito kwa puto, madhara yake?, Msechu Kilo 7 zimepungua
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?