Rais John Magufuli amemuagiza Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro kuwaondoa na kuwapangia kazi nyingine OCD wa Wilaya ya Meru, ofisa usalama na OCCID kwa kushindwa kusimamia wajibu wao.
“Waondolewe kazini kuanzia leo” kwa sababu ya bangi Magufuli atumbua Maafisa Polisi (+video)
Leave a comment
Leave a comment