Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Warembo TXC kutua Tanzania, kunogesha ‘Arusha na DAR’ wikiendi hii
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Warembo TXC kutua Tanzania, kunogesha ‘Arusha na DAR’ wikiendi hii
Habari za Mastaa

Warembo TXC kutua Tanzania, kunogesha ‘Arusha na DAR’ wikiendi hii

June 8, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Good news ninayotaka kukusogezea kwa wewe mpenda burudani hususani muziki wa Afrika Kusini maarufu kama Amapiano ni kwamba warembo wanaounda kundi la liitwalo  TXC akiwemo  Tarryn & Clair wanatarajiwa kutua katika ardhi ya Samia wikiendi hii.

Tarryn na Clair

Tarryn na Clair utakuwa ni ujio wao wa mara ya kwanza kuja Afrika Mashariki kuonesha vipaji vyao vya kuzichesha nyimbo  zinazotamba kwasasa almaarufu kama Amapiano, wakali hao wanatarajiwa kuwasili wiki hii  nchini Tanzania wakitokea Afrika Kusini na kutoa burudani ijumaa tarehe 11th mkoani Arusha katika chimbo liitwalo Le Patio na Jumamosi hii tarehe 12th wataendeleza mwendelezo wa burudani zao ambapo itakuwa ni zamu ya wana Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mmiliki wa kampuni ya Str8upvibes aitwae Sniper Mantana alisema ‘Tunachotaka kuona mashabiki wanapata ladhaa tofauti tofauti miaka kadhaa watu wetu wamezoea kuona tunawaleta Wanaija na wenginro lakini kwasasa tunachanganya ladhaa tofauti na ningependa kusema mwaka huu kuna  vitu vingi vizuri, mashabiki wajiandae’– Sniper Mantana

‘Kuhusu Tarryn na Clair wanakuja wikiendi hii kutoa burudani Tanzania ni Ma DJ’s wazuri nimeshuhudia shows zao kupitia mitandaoni ninaamini na wameniahidi kufanya makubwa tarehe 11th mkoa wa arusha na tarehe 12th watatoa burudani Dar es Salaam’- Sniper Mantana

UNAWEZA UKATAZAMA HAPA TXC WALIVYOTOA BURUDANI YA DAKIKA 50 KATIKA SESSION IITWAYO AVENUE

 

 

 

 

You Might Also Like

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

Harmonize aibua mapywa, afichua ya Dada wa Diamond, aeleza alivyoshiriki kwenye wimbo huu mpya

Tazama Diamond ‘Sheikh Mansoor’ akiwapokea Watoto wake Airport na Rolls Royce ‘Tiffah na Nillah’

TAGGED: ayotventertainment
Edwin TZA June 8, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Rais wa Ufaransa azabwa kofi mbele ya Walinzi wake (+video)
Next Article VIDEO:Soudy Brown na Mwijaku walivyombananisha Mwigizaji Chuchu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?