Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: WASTAAFU NISHATI , WATEMBELEA MRADI WA JNHPP
Share
Notification Show More
Latest News
Jorginho aondoka Chelsea na kusaini Arsenal
February 1, 2023
Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain
January 31, 2023
Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza
January 31, 2023
Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)
January 31, 2023
Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg
January 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > WASTAAFU NISHATI , WATEMBELEA MRADI WA JNHPP
Top Stories

WASTAAFU NISHATI , WATEMBELEA MRADI WA JNHPP

January 23, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

 

Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Mhe. Mha. Zena Ahmed Said akifafanua jambo kwa Mha. Juliana Palangyo na kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhe. Mha. Felchesmi Mramba wakiwa kwenye mradi wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere, Jumamosi, 21 Januari 2023.

 

Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu Wastaafuwaliowahi kuhudumu katika Wizara ya Nishati kwanyakati tofauti wakiongozwa na Katibu Mkuu Kiongozina Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri ya Serikali yaMapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Mhandisi Zena Ahmed Said wametembelea mradi wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere (Julius Nyerere Hydro Electric PowerProject – JNHPP) na kujionea maendeleo ya mradi huoikiwa ni mwezi mmoja tokea Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan afunge rasmi lango la kuchepusha maji ya mto Rufiji ilikuruhusu maji kuanza kujaa ndani ya bwawa hiliambapo kwa sasa kina cha maji kwenye bwawakimefikia urefu wa mita 116 kutoka usawa wa bahari.

Akizungumza mara baada ya kutembelea maeneombalimbali ya mradi huo, Mhe. Mhandisi Zena Ahmed Said ameeleza kuwa mradi huu ni mkubwa sana kwaTanzania na hata nje ya Tanzania na unaendelea vizuriambapo mpaka sasa umefikia asilimia 80.22 nainategemewa hadi kufikia Januari 2024 umeme wakwanza utaanza kuzalishwa na kusafirishwa hadiChalinze ili uungwanishwe kwenye Gridi ya Taifa nahatimaye uweze kusambazwa kwenda sehemumbalimbali za nchi yetu.

Mhe. Mhandisi Zena ameeleza faida mbalimbali za mradi huu unaotarajiwa kuzalisha jumla ya megawati2115 ikiwemo upatikanaji wa umeme wa uhakikaambao utaondoa kabisa changamoto ya upungufu waumeme lakini pia vijana wengi walioshiriki katikaujenzi wa mradi huu watabakia na ujuziutakaowawezesha kuweza kujiajiri na hata kutumikakatika miradi mingine inayoendelea.

“Bwawa hili likimalizika kwa kweli litakuwa nimkombozi mkubwa sana kwa sababu nchi yetu itawezakupata umeme wa uhakika na kupelekea changamotoya upungufu wa umeme kubaki historia kwa hiyotuendelee kushirikiana ili tuweze kulikamilisha hili nabaada ya hapa vijana wetu wengi watakuwa wamepataujuzi kwa hiyo nitoe wito kwa Wizara ya Nishatiwaweze kuweka kanzidata ili kuwatambua wale wotewaliohusika kwa sababu nimeambiwa asilimia 90 yawafanyakazi ni watanzania” amesema Mhe. MhandisiZena.

Aidha, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhe. MhandisiFelchesi Mramba ameeleza kuwa, bwawa hilo litakuwana faida nyingi kwa watanzania ambapo Serikaliimeandaa  mipango mingi ya matumizi ya bwawa hiliambayo ni pamoja na kutenga hekta laki nne kwenyeRufiji Delta ambazo zitatumika kwenye matumizi yakilimo cha umwagiliaji lakini pia bwawa litatumika kwaajili ya matumizi ya uvuvi na kuwezesha kupatikanakwa maji na umeme wa uhakika pamoja na kuwezeshaajira nyingi kwa watanzania.

Naye mmoja wa makatibu wakuu wastaafu, Dkt. Avemaria Semakafu ameipongeza Serikali na Wizara yaNishati kwa kuuendeleza kwa kasi kubwa mradi huu wakimkakati ambao unategemewa kuwa kichocheo cha maendeleo kwa watanzania na taifa kwa ujumla nakutoa wito kwa Wizara ya Nishati na TANESCO kuandaaMakala maalum itakayowahusisha wadau wotewaliohusika katika kuanzishwa kwa mradi huu.

“Ningependa kuipongeza sana Serikali kwa uamuziwake wa kuchukua mradi huu wa kimkakati lakinivilevile kwa kuuendeleza kwa kasi ambayo tunaiona,fedha iliyotumika ni nyingi sana lakini ni mategemeoyetu kwamba baada ya kukamilika  na kuanzakutumika, mradi huu utachochea maendeleo kwawatanzania hasa ukielewa nishati ya umeme ni kitu cha msingi sana katika maendeleo hasa kwa taifa letuambalo limefikia uchumi wa kati. Ombi langu kwaWizara na kwa TANESCO watutengenezee Makala maalum itakayowahusisha wadau wote waliohusikakwenye ujenzi wa mradi huu.

Mradi wa bwawa la kufua umeme wa Julius NyerereHydro Electric Power Project (JNHPP) unatarajiwakuzalisha jumla ya megawati 2,115 za umemezitakazoongeza nguvu katika megawati 1,430 za umeme zinazozalishwa sasa hivi kwenye vyanzombalimbali  vya kuzalisha umeme na kuondoa tatizo la umeme na kuiwezesha nchi yetu kujitosheleza kwamahitaji  ya  umeme na kuwa na ziada ya kuuza nchijirani sambamba na kupunguza gharama za umeme kwaWatanzania.

You Might Also Like

Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain

Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza

Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)

Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg

Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine

Millard Ayo January 23, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 23, 2023
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo January 24, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Jorginho aondoka Chelsea na kusaini Arsenal
Sports February 1, 2023
Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain
Top Stories January 31, 2023
Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza
Top Stories January 31, 2023
Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)
Top Stories January 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rais Samia ashtukia mchezo mchafu hela za Plea Bargain

January 31, 2023
Top Stories

Rais Samia ainyooshea kidole Polisi, Magereza

January 31, 2023
Top Stories

Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg

January 31, 2023
Top Stories

Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine

January 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?