Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brig. Jenerali Marco Gaguti kufuatia vifo vya watu 14 waliofariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea January 2, 22 katika Kijiji cha Lidumbe Wilayani Newala Mkoani Mtwara.
Watu 14 wafariki ajalini Mtwara, Rais Samia aguswa
Leave a comment
Leave a comment