Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
September 27, 2023
Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
September 27, 2023
CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike
September 27, 2023
Wanajeshi wamuua kamanda maarufu wa Boko Haram
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Mamia ya watu wamefariki na wengine  kujeruhiwa, huku maafisa wakisema idadi ya vifo inatarajiwa kuongezeka.

Treni moja ya abiria iliacha njia na mabehewa yake yaliangukia kwenye njia iliyo karibu ambapo yaligongwa na treni iliyokuwa ikija Ijumaa jioni.

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea mashariki mwa jimbo la Odisha nchini India, maafisa wanasema.

Zaidi ya magari 200 ya kubebea wagonjwa yalitumwa katika eneo la tukio katika wilaya ya Balasore, anasema katibu mkuu wa Odisha Pradeep Jena.

Treni moja ya abiria inasemekana iliacha njia ya reli kabla ya kugongana na nyingine usiku wa Ijumaa.

Ni ajali mbaya zaidi ya treni nchini India kuwahi kutokea karne hii. Maafisa wanasema idadi ya vifo inatarajiwa kuongezeka zaidi.

Shirika la Reli la India lilisema treni mbili zilizohusika katka ajali hiyo ni Coromandel Express na Howrah Superfast Express.

You Might Also Like

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike

Wanajeshi wamuua kamanda maarufu wa Boko Haram

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA June 3, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
Next Article Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
Top Stories September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
Top Stories September 27, 2023
Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
Top Stories September 27, 2023
CP Kaganda arejea nchini ataja mikakati madhubuti kuboresha utendaji kazi kwa askari wakike
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

September 27, 2023
Top Stories

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia

September 27, 2023
Top Stories

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

September 27, 2023
Top Stories

Wanajeshi wamuua kamanda maarufu wa Boko Haram

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?