Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories

Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro

February 2, 2023
Share
2 Min Read
.
SHARE

Zaidi ya watu 60809 wamepata Elimu ya Sheria mkoani Morogoro Kwa kipindi cha wiki Moja kuanzia januari 26 hadi February 1 mwaka huu

Akizungunza wakati wa kilele Cha wiki ya Sheria Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Morogoro Mheshimiwa jaji Paul Ngwembe amesema watu hao wamepata Elimu hiyo Kwa njia mbalimbali ikiwemo ana kwa ana,vipeperushi na Vyombo vya Habari.

Mheshimiwa Jaji Ngwembe anasema idadi ya watu waliopata Elimu ya sheria imeongezeka kutoka 33567 mwaka 2021/ 2022 hadi kufikia watu 60809 mwaka 2022/ 2023.

Anasema lengo la Kutoa Elimu hiyo ni Kuhakikisha wananchi wanapata ufahamu kuhusu masuala ya sheria ambapo wananchi wengi wamekua wakifungwa Kwa kutokujua sheria Jambo ambalo halina utetezi kwenye utoaji haki huku jina ya usulihishi ikisisitiswa zaidi Kwa Jamii.

Anasema Elimu hiyo imesaidia kwani mwaka 2021 makosa ya ubakaji yalikua 196,Ulawiti 32, mauaji 95 ,madawa ya kulevya 188 na nyara za serikali 53 jumla yakiwa malalamiko 567 ambapo mwaka 2022 yamepungua na kufikia jumla ya malalamiko 464 Kwa ufafanuzi wa ubakaji 156,Ulawiti 24,mauaji 66 ,madawa ya kulevya 141 na nyara za serikali 77.

Kwa upande wake mkuu wa Mkoa Morogoro amewataka mahakimu na majaji kutumia busara pindi wanapotoa hukumu kwani kuna baadhi ya wananchi wamekua na malalamiko ya uongo na kuleta sintofahamu katika vyombo vya kutokea Haki.

Aidha RC Mwassa amewataka wananchi kufuata Sheria wakati wakihitaji umilikishwaji wa ardhi ili kupunguza Migogoro ya ardhi kwenye vijiji ambayo imekua changamoto hasa maeneo mengi ya Mkoa huo.

.
.
.

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

Edwin TZA February 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
Next Article Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?