Top Stories Watu watatu Wafariki kwenye Machimbo Arusha, DC akemea hili (video+) Published January 13, 2022 Share 0 Min Read SHARE Watu watatu wamefariki dunia wakati wakichimba mchanga baada ya kuangukiwa na kifusi katika machimbo ya mchanga yaliyopo Murieti Mkoani Arusha. Ayo TV & Millardayo.com imefika eneo la tukio tazama hii video hapa pia ufahamu kilichosemwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha. RAIS SAMIA AKUTANA NA JOB NDUGAI IKULU CHAMWINO DODOMA TAGGED:ArushaMkuu wa Wilaya Share This Article Facebook TwitterEmail Print Share Previous Article Chenge aibukia CCM, ataka kumrithi Ndugai “Chama kifanye kazi yake” (video+) Next Article Kijana asimulia tusiyoyajua “Nilipigwa shoti, wachache wananishangaa” (video+) Leave a comment Leave a comment Leave a Reply Cancel replyYou must be logged in to post a comment. - Advertisement - Latest News ‘Kiongozi usifikiri nafasi yako haiwezi kuzibwa’- Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango Rais Samia amuagiza Ridhiwani, ‘Hakikisha Vijana wanapata ajira’ Rais Samia amwambia Jerry Silaa ‘Umefanya vizuri Ardhi, Kaimarishe Mawasiliano’ Wenyeviti wa Baraza la Vijana Zanzibar wafanya hili Wilaya ya Micheweni Pemba