Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Watumishi 9 wasimamishwa kazi (JNIA)
Share
Notification Show More
Latest News
Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya
March 20, 2023
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Watumishi 9 wasimamishwa kazi (JNIA)
Top Stories

Watumishi 9 wasimamishwa kazi (JNIA)

July 13, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Watumishi tisa wamesimamishwa kazi katika Kitengo cha upimaji wa COVID – 19 kwa Wasafiri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere (JNIA).

Agizo hilo limetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Abel Makubi alipofanya ziara uwanjani hapo kukagua utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa juzi alipofika hapo akiwa ameambatana na Katibu mwenzake wa Wizara ya Uchukuzi.

Prof. Makubi amesema hakufurahishwa na kitendo cha utovu wa nidhamu, kilichofanywa na Watumishi cha kutokufika kazini bila kutoa taarifa rasmi kwa uongozi.

“Jana Watumishi wanane hawakufika na leo mmoja bila kutoa sababu ya msingi, jumla wanakuwa tisa, imeonekana hapa hili zoezi la baadhi ya Watumishi kutokuja kazini limekuwepo, sasa hii imenisikitisha sana kwa baadhi ya Viongozi kushindwa kuchukua hatua zinazostahili na kulindana kwa kuficha uozo”———Makubi

TAZAMA UZURI WA LOUNGE MPYA AIRPORT, WAZIRI AZINDUA “ATCL TUNAONGEZA NDEGE”

 

You Might Also Like

Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.

TAGGED: Ayo TV
Edwin TZA July 13, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Historia ya soko la Kariakoo, kifo cha aliechora ramani (+video)
Next Article Yung Bleu, Chris Brown & 2 Chainz wametuletea video maya ‘Baddest’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya
Top Stories March 20, 2023
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya

March 20, 2023
Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.

March 20, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?