Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Bashungwa atangaza muhula wa masomo kwa watakaoingia kidato cha 5
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Waziri Bashungwa atangaza muhula wa masomo kwa watakaoingia kidato cha 5
Top Stories

Waziri Bashungwa atangaza muhula wa masomo kwa watakaoingia kidato cha 5

May 12, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa leo ametangaza matokeo ya uchaguzi wa Wanafunzi wa Kujiunga na kidato cha tano Vyuo vya Ualimu na Vyuo vya Elimu ya Ufundi May 2022.

“Muhula wa kwanza kwa Wanafunzi wa kidato cha tano utaanza tarehe 13 Juni, 2022, hivyo, Wanafunzi wote waliopangwa kujiunga na kidato cha tano kwa mwaka 2022 wanapaswa kuanza kuripoti katika Shule walizopangwa kuanzia tarehe 13 Juni, 2022, siku ya mwisho ya kuripoti itakuwa tarehe 30 Juni, 2022”-Waziri Bashungwa

“Endapo Mwanafunzi atachelewa kuripoti nafasi yake itachukuliwa na mwingine aliyekosa nafasi na kwa kuzingatia kuwa uchaguzi wa Wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano na Vyuo vya Elimu ya Ufundi umefanyika kwa kuzingatia ufaulu na nafasi zilizopo katika Shule, hakutakuwa na fursa ya kufanya mabadiliko yoyote ya Shule kutokana na ukosefu wa nafasi kwenye Shule husika”- Waziri Bashungwa

“Fomu za maelezo ya mahitaji ya kujiunga na kidato cha tano (Joining Instructions) kwa Shule zote za kidato cha tano zinapatikana kwenye tovuti ya OR-TAMISEMI kupitia kiunganishi cha www.tamisemi.go.tz na kwa wale waliopangwa kwenye Vyuo vya Elimu na Mafunzo ya Ufundi watapokea maelekezo ya namna ya kujiunga kutoka katika Vyuo walivyopangwa”- Waziri Bashungwa

“Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa inapatikana kwenye tovuti ya Ofisi ya Rais -TAMISEMI ya www. tamisemi. go. tz na Baraza la Taifa la Elimu ya Mafunzo ya Ufundi ya www. nacte. go. tz”- Waziri Bashungwa

 

 

You Might Also Like

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

Edwin TZA May 12, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha: Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais akutana na Waandishi wa Habari Ikulu DSM
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 13, 2022
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?