Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi kwenye tuzo za Kiswahili ‘Prize’
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi kwenye tuzo za Kiswahili ‘Prize’
Top Stories

Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi kwenye tuzo za Kiswahili ‘Prize’

January 19, 2023
Share
1 Min Read
SHARE
WAZIRI Mkuu nchini Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ghafla ya utoaji wa Tuzo za Umahiri katika fasihi ya kiswahili zinazotolewa na Kampuni ya Vifaa vya Ujenzi ya ALAF.
Akizungumza na waandishi wa Habari leo Januari 19 2023 Meneja wa Uhusiano wa Kampuni hiyo Hawa Bayuni amesema kuwa Tuzo hizo zitatolewa Januari 25 kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuzo hizo zilizopewa jina la Kiswahili Prize Award zinafanyika kwa miaka saba tangu zilipoanzishwa mwaka 2014 .
Bayuni amesema lengo la Tuzo hizo ni kuikuza lugha ya Kiswahili ambapo washiriki kutoka nchi mbalimbali zaAfrika ikiwemo Tanzania zitashiriki.
Amesema kuwa Tuzo hizo huchagiza kasi ya usambaji wa Kiswahili Afrika ikiwa sehemu ya kuzikamilisha ndoto ya kuiunganisha Afrika kwa lugha moja.
Katika Tuzo hizo zilizoasisiwa na Dkt.Lizzy Attree na Mukoma Ngugi Mshindi atapewa kiasi cha Dola za Kimarekani 5,000.

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Edwin TZA January 19, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Breaking: Vigezo vipya vya kujiunga na Jeshi Polisi vyatolewa ZNZ, “Ufaulu wa daraja la nne”
Next Article Mtoto adaiwa kunyonya Maziwa ya Marehemu mama yake bila kujua
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?