Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Waliodaiwa kunyanyaswa kingono na R.Kelly wajitokeza kumtetea (+Video)
Share
Notification Show More
Latest News
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Waliodaiwa kunyanyaswa kingono na R.Kelly wajitokeza kumtetea (+Video)
Habari za Mastaa

Waliodaiwa kunyanyaswa kingono na R.Kelly wajitokeza kumtetea (+Video)

March 7, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Inaelezwa kuwa kupitia mahojiano ya kituo cha TV cha CBS “This Morning” kimefanya mahojiano na wasichana wawili ambao wanatajwa kuwa waliwahi kuwa mapenzini na mwimbaji R. Kelly na kusema kuwa chochote kinachozungumzwa juu ya mwimbaji huyo ni uongo.

Kupitia mahojiano hayo msichana mmoja aliyefahamika kwa jina la Azriel Clary alisema kuwa baba yake mzazi alimtaka adanganye kuhusu umri wake pamoja na kutengeneza kanda za ngono pamoja na R.Kelly ambapo baadae wangezitumia kwa kulipiza kisasi.

Wasichana hao walisisitiza na kusema kuwa wazazi wao waliwataka wafanye hivyo ili baadae watumie picha pamoja na videos hizo kama ushahidi endapo R.Kelly angegoma kutoa kiasi cha pesa walichokitaka huku lengo lao kubwa ilikua kukusanya pesa kutoka kwa R. Kelly .

“Kwa mara ya kwanza nilipokutana na R. Kelly alijua nina miaka 18 lakini nilipokuwa na miaka 17 wazazi wangu walitaka nipige picha na R.Kelly na kuchukua video za ngono na vitu kama hivyo na walisema wakitaka kumtishia watatumia picha pamoja na videos kama ushahidi”

MAJONZI: MWILI WA EPHRAIM KIBONDE UMEAGWA MWANZA NA KUSAFIRISHWA

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

TAGGED: bongofleva news
Admin March 7, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article MAJONZI: Mwili wa Ephraim Kibonde umeagwa Mwanza na kusafirishwa (+video)
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania March 8, Hardnews, Udaku na Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Top Stories August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Top Stories

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?