Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Msituwekee picha zenu zenye mistari ya ujauzito” – Wema Sepetu
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > “Msituwekee picha zenu zenye mistari ya ujauzito” – Wema Sepetu
Habari za Mastaasocial network

“Msituwekee picha zenu zenye mistari ya ujauzito” – Wema Sepetu

July 6, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

Ni kawaida kwa baadhi ya wanawake hasa mastaa kupiga picha wakati wa ujauzito kwa ajili ya kumbukumbu zao na wakati mwingine kutokana na mapenzi waliyonayo kupiga picha ambapo mastaa mbalimbali wa kike duniani wamekuwa wakifanya hivyo.

Jambo hilo pia tumekuwa tukilishuhudia hata hapa Tanzania na baadhi ya mastaa pia wameshawahii kupiga picha za namna hiyo na wakati mwingine kuziweka kwenye mitandao ya kijamii jambo ambalo baadhi ya watu linawakera.

Wema Sepetu ni mmoja wa watu ambao wameonesha kukerwa na kitendo hicho akisema ni ukiukwajii wa maadili ya kiafrika na watanzania kwa ujumla na kuutumia ukurasa wake wa Instagram  kumpongeza muigizaji wa Bongomovie Esha Buheti baada ya kupiga picha akiwa mjamzito ndani ya mavazi ya kumsitiri.

Wema ameongeza kwa kusema kuwa ameshakubaliana na hali yake ya kutoweza kupata mtoto lakini hiyo haimzuii kusema yanayomkera kuhusiana na mambo ya uzazi.

Mashallah Esha wangu… Staha hadi Raha…. Sijawahi Elewa Wanawake wakishaenda kwenye Maternity shoots kwanini wanataka sana wakae uchi…. This Is Very Beautiful my Darling…. Allah Bariq Tumbo lako ujifungue salama my love… Unajua navyokupenda…. Hii iende kwa wanaokaaga Uchi wakiwa wanapiga picha za Mimba Jamani… ??? @esha.s.buheti @esha.s.buheti @esha.s.buheti @esha.s.buheti

A post shared by Wema Sepetu (@wemasepetu) on Jul 5, 2017 at 12:47pm PDT

Yaani ni Hivi, Hakunaga Jipya Now Mwaweza nitukana nikashtuka… Maana mi mwenyewe nishajikubali hali yangu… Labda niulize tu, Niko peke yangu nilokosa mtoto au ambaye sijazaa…??? HAPANA…!! Soooooooo Back to The Main Point, Nilichosema na nitakachoendelea Kusema, MUACHE KUTUWEKEA MIPICHA YA MITUMBO YENU YENYE MSTARI WA UJAUZITO… Yaani inshort, Muache kupiga picha za UTUPU kwenye Maternity Shoot zenu…. @esha.s.buheti Nakupenda mama…. You are the Definition of Womanhood & Motherhood… Na unajua Utamaduni wetu nini unataka…. Haya Wazungu endeleeni na Uzungu wenu…. Tukaneni na hapa pia…. Eti u thought I would keep quite jus cause mmeniita Jina nilolizoea… So nisi speak my Heart… Y’all are Very Funny….!!!! ??? Allah akutangulie kipenzi changu…. Baby Shower Loading…. @esha.s.buheti @esha.s.buheti @esha.s.buheti @esha.s.buheti @esha.s.buheti ….

A post shared by Wema Sepetu (@wemasepetu) on Jul 6, 2017 at 1:34am PDT

Video: Gabo na Wema Sepetu wametuletea filamu mpya inaitwa KISOGO>>>

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

TAGGED: bongo movie
Admin July 6, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Hakimu ajitoa kusikiliza kesi ya Mbunge Godbless Lema…kisa?
Next Article VIDEO: CUF ya Prof. Lipumba vs Maalim Seif walivyokutana Mahakamani leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?