Pichaz za Birthday Party ya Wema Sepetu, mastaa wa Bongo nao ndani !!
Share
4 Min Read
.
SHARE
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa Wema Sepetu ambaye ni mwigizaji wa Bongo Movie alifanya Party yake Novemba 1, 2015 akawaalika mastaa wengi kutoka Bongo Movie na Bongo Fleva, kiukweli ilipendeza sana.
........Mama mzazi wa Wema Sepetu akifurahi..Wema Sepetu akimlisha keki Millard.....Wema Sepetu akimlisha keki mwigizaji wa bongo movie, Steve Nyerere..Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba akitoa burudani..Mwigizaji wa Bongo Movie, Steve Nyerere akizungumza machache..............
....
.......Wafanyakazi wa Clouds Media Group (kushoto Shadee wa Clouds TV na B 12 wa Double XL)......
......
.Kushoto ni Mwigizaji Lulu Michael akiwa na Mtangazaji Penny.......Kushoto ni Mtangazaji wa kipindi cha Amplifaya, Millard akiwa na Dulla Spartan...Wema Sepetu amenunua hili gari jipya aina ya Range Rover na kulitambulisha mbele ya watu waliohudhuria katika birthday party yake....
...Mwigizaji Wema Sepetu akiwaonesha gari lake jipya aina ya Range Rover watu mbalimbali waliohudhuria birthday party iliyofanyika jana Novemba 1, 2015.
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAMTWITTERFBYOUTUBE