Watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni wezi wa mifugo katika Kijiji cha Busegwe Wilayani Butiama Mkoani Mara, wamekumbwa na hali ya kula majani kama Ng’ombe, mara baada ya wanakijiji kushirikiana na familia iliyoibiwa Ng’ombe, kumuita mganga kutoka nchini Kenya na kufanya dawa hiyo.
Wezi wageuzwa ng’ombe wanakula majani, maajabu ya mganga kutoka Kenya (+video)
Leave a comment
Leave a comment