Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Serikali haina pesa? zimechotwa na nani? Wizara ya Fedha imetoa majibu kwenye sentensi 9.. (+Audio)
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
December 5, 2023
Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+
December 5, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Serikali haina pesa? zimechotwa na nani? Wizara ya Fedha imetoa majibu kwenye sentensi 9.. (+Audio)
MixTop Stories

Serikali haina pesa? zimechotwa na nani? Wizara ya Fedha imetoa majibu kwenye sentensi 9.. (+Audio)

November 27, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

Kama umewahi kukutana na taarifa mitandaoni, kwenye vyombo vya habari au kwingineko basi ninayo majibu yote kutoka Wizara ya Fedha kuhusu ishu ya ukata wa Fedha Serikalini Tanzania.

Hii ni nukuu ya Kamishna Bajeti wa Wizara ya Fedha akitoa majibu ya pesa zilikotumika >>> “Watu waliokuwa wanaandikisha kupiga Kura, gharama zake ndizo tulizopeleka Tume ya Uchaguzi… Kwa mara ya kwanza katika chaguzi zote zilizowahi kufanyika mwaka huu Uchaguzi umefanywa na fedha za Watanzania.”

IMG_20151127_161155

Kuna ukweli kuhusu Serikali iliyotoka madarakani kumaliza pesa zote? Majibu haya hapa >>> “Upatikanaji wa fedha uko hivi; hela zinazokusanywa leo zinaingizwa kwenye mfuko mkuu wa Serikali Benki Kuu. Haiwezekani mtu akakomba hela kwa sababu zile hela zinaingia kila siku na kutoka, haiwezekani mtu akombe hela mfuko Mkuu wa Serikali… Kama kuna mtu amekomba hela msingesikia kwamba watumishi wa Serikali wameshindwa kulipwa mshahara? Mngesikia maandamano… tungeweza kufanya uchaguzi wetu wenyewe? vyuo vikuu wangepata hela za mikopo?… JK hakukomba hela hazina.” >>> Kamishna John Cheyo.

Hii hapa sauti niliyoipata kwenye habari ya kituo cha TBC 1 leo.

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa>>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.

You Might Also Like

Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

Vita dhidi ya watoto ‘kila kukicha’ kusini mwa Gaza-UNICEF

Zaidi ya Wapalestina 15,900 waliuawa – waziri wa afya wa Palestina

Millard Ayo November 27, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Licha ya kuwa Kenya ni Bingwa mtetezi wa Kombe la Challenge, Zanzibar Heroes wamewashushia kipigo …
Next Article Miili 35 ya watu ilivyopatikana baada ya mashambulizi ya Boko Haram Nigeria..
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
Top Stories December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
Top Stories December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
Sports December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
Sports December 5, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

December 5, 2023
Sports

Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi

December 5, 2023
Top Stories

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

December 5, 2023
Top Stories

Vita dhidi ya watoto ‘kila kukicha’ kusini mwa Gaza-UNICEF

December 5, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?