Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: WFP, imetangaza kusitisha kutoa misaada ya kibinadamu mashariki mwa Sudan.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > WFP, imetangaza kusitisha kutoa misaada ya kibinadamu mashariki mwa Sudan.
Top Stories

WFP, imetangaza kusitisha kutoa misaada ya kibinadamu mashariki mwa Sudan.

March 22, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kusitisha shughuli zake za kutoa misaada katika maeneo ya mashariki mwa Sudan Kusini ili kutathmini upya hali ya mambo kufuatia shambulio la hivi karibuni dhidi ya msafara wake wa kibinadamu.

Shambulio la kutumia silaha ambalo lililenga wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu lilifanyika Machi 17. Kulingana na taarifa hiyo, msafara huo wa misaada ya kibinadamu uliokuwa na zaidi ya lori 100 ulikuwa njiani kupeleka msaada wa kibinadamu uliposhambuliwa.

Kutokana na hali hiyo, wafanyakazi wawili waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Shirika hilo limetoa wito kwa mamlaka kuchukua hatua za haraka ili kuhakikisha usalama na kulinda watu wake, pamoja na wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, na kuwawajibisha wale waliohusika.

Mkurugenzi wa WFP nchini Sudan Kusini, Mary Ellen McGroarty, ameeleza kuwa ukanda wa kibinadamu katika jimbo la Jonglei una umuhimu mkubwa.

Katika taarifa yake, shirika hilo limesisitiza kuwa hilo sio tukio pekee katika mfululizo wa mashambulizi yanayoongezeka dhidi ya wafanyakazi wa mashirika ya misaada ya kibinadamu na misafara nchini Sudan Kusini.

Imebainika kuwa mnamo 2022, wafanyikazi tisa wa misaada waliuawa na zaidi ya matukio 400 ya mashambulio dhidi yao kuripotiwa.

Kulingana na makadirio ya WFP, watu milioni 9.4 wanatarajiwa kuhitaji misaada ya kibinadamu mwaka huu huko Sudan Kusini.

You Might Also Like

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 22, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Barnaba ametuletea hii single mpya ‘Nampenda’ (Audio+)
Next Article Siku ya Maji Duniani Wateraid watoa kauli hii “Mpango wa miaka 5, tunamaliza kero ya maji”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?