Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: WHO: Nusu ya watu Ulaya wataambukizwa kirusi cha Omicron
Share
Notification Show More
Latest News
Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
September 27, 2023
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
September 27, 2023
Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > WHO: Nusu ya watu Ulaya wataambukizwa kirusi cha Omicron
Top Stories

WHO: Nusu ya watu Ulaya wataambukizwa kirusi cha Omicron

January 12, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa limesema zaidi ya nusu ya watu wote barani Ulaya wanatazamiwa kuwa wataambukizwa kirusi cha corona aina ya Omicron katika muda wa miezi miwili inayokuja.

Mkuu wa WHO kanda ya Ulaya Hans Kluge amesema tathmini hiyo ni kwa mujibu wa taasisi ya takwimu za afya ya IHME na imetolewa wakati kirusi cha omicron kinaendelea kusambaa kwa kasi duniani.

Bara la Ulaya limekuwa kitovu cha idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya corona hali iliyopelekea serikali nyingi kutangaza vizuizi vipya na kutanua kampeni ya utoaji chanjo za nyongeza dhidi ya Covid-19.

WHO imesema ingawa kirusi cha omicron kinasambaa haraka ikilinganishwa na aina nyingine zilizotangulia, chanjo zilizoidhinishwa bado zinaweza kutoa kinga dhidi ya watu kupata maradhi makali na hata kifo.

Via DW Swahili

MUSUKUMA “WALIOCHUKUA FOMU USPIKA WAJITOE, UNAUNDAJE SUKUMA GANG MIMI SIPO”

You Might Also Like

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 12, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mkuu wa Usalama Denmark akamatwa na Polisi
Next Article LIVE: Rais Mwinyi akiongoza sherehe za miaka 58 Mapinduzi, Rais Samia ashiriki
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
Sports September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
Top Stories September 27, 2023
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
Top Stories September 27, 2023
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kukomeshwa kwa silaha za nyuklia
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Sports

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

September 27, 2023
Top Stories

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

September 27, 2023
Top Stories

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

September 27, 2023
Top Stories

Korea Kaskazini kumfukuza mwanajeshi wa Marekani Travis King aliyevuka kutoka Korea Kusini

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?