Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Winga wa Real Madrid,aitaja La Liga kama ‘ligi ya wabaguzi wa rangi’.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Winga wa Real Madrid,aitaja La Liga kama ‘ligi ya wabaguzi wa rangi’.
Sports

Winga wa Real Madrid,aitaja La Liga kama ‘ligi ya wabaguzi wa rangi’.

May 22, 2023
Share
3 Min Read
SHARE

Winga wa Real Madrid, Vinicius Junior ameitaja ligi kuu soka nchini Hispania La Liga kama ‘ligi ya watu wabaguzi wa rangi.kbaada ya post aliyandika  kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kufanyiwa ubaguzi wa rangi na mashabiki wa Valencia.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 Ameandika hivyo baada ya kufanyiwa ubaguzi wa rangi na mashabiki wa Valencia kwenye mchezo wa Ligi kuu Hispania La liga uliochezwa jana usiku mchezo ambao ulimalizika kwa Madrid kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Mestalla katika La Liga ya Uhispania, kulingana na meneja wa klabu Carlo Ancelotti.

Mchezo huo ulianza kipindi cha pili, ambapo baada ya mchezo kusimama, dk ya 73 Shabiki ‘mmoja  aliyekuwa kwenye viwanja mchezaji huyo alisikika akimwita Tumbili, tumbili’

Watangazaji wa TV ya La Liga walisema kulikuwa na tangazo uwanjani likiwataka mashabiki kutowatukana wachezaji au kutupa vitu uwanjani.

Baada ya tukio hilo kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amesema mwamuzi alipaswa kusimamisha mchezo huo kutokana na vitendo hivyo vya ubaguzu dhidi ya Vini.

Haikuwa mara ya kwanza, wala ya pili, wala ya tatu. Ubaguzi wa rangi ni jambo la kawaida kwenye La Liga. Taifa zuri, ambalo lilinikaribisha na ninalipenda, lakini limekubali kusafirisha sura ya nchi ya kibaguzi duniani.” Ameandika Vinicius

“It was not the first time, nor the second, nor the third,” it said. “Racism is normal in La Liga. The competition thinks it’s normal, the Federation does too and the opponents encourage it. I’m so sorry. The championship that once belonged to Ronaldinho, Ronaldo, Cristiano and Messi today belongs to racists.

“A beautiful nation, which welcomed me and which I love, but which agreed to export the image of a racist country to the world. I’m sorry for the Spaniards who don’t agree, but today, in Brazil, Spain is known as a country of racists.

Ancelotti alizungumzia hali hiyo baada ya mchezo huo akisema, “Sitaki kuzungumzia soka leo… wakati uwanja mzima unamwita mchezaji ‘tumbili’  kuna kitu kibaya kinatokea kwenye ligi hii.”

Katika mahojiano tofauti na wanahabari, Ancelotti alipendekeza waamuzi wasitishe mechi katika visa vingine vya ubaguzi wa rangi kwenye ligi. Muitaliano huyo alisema, “Nimesikitika sana kwa sababu La Liga ni ligi yenye timu kubwa zenye mazingira mazuri. Hili lazima tuondokane nalo. Tupo 2023, ubaguzi wa rangi sio lazima uwepo… njia pekee ya mimi ni kuacha mchezo.”

You Might Also Like

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

July, 2022 hadi May, 2023 makosa makubwa ya jinai yameongezeka.

Pochettino Kocha Mpya Chelsea

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA May 22, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mlipuko wa Kipindupindu waua 12 Afrika Kusini
Next Article Waziri atoa miezi miwili kukamilisha mkakati huu, azindua muongozo wa usimamizi wa hifadhi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?