Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kingine kilicho-trend leo ni hii picha ya Davido na Wizkid pamoja
Share
Notification Show More
Latest News
Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya
September 22, 2023
Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani
September 22, 2023
Tunisia yamwachilia mchora katuni aliye kamatwa kwa michoro inayomdhihaki waziri mkuu
September 22, 2023
Wanafunzi 90 wa shule ya msingi wamelazwa hospitalini baada ya kula keki zenye bangi
September 22, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 22, 2023
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Kingine kilicho-trend leo ni hii picha ya Davido na Wizkid pamoja
Habari za Mastaa

Kingine kilicho-trend leo ni hii picha ya Davido na Wizkid pamoja

April 4, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Picha za Davido na Wizkid wakiwa pamoja sio picha zinazotokea au kupigwa kila siku, kumbuka wawili kuwa na beef ambapo mwaka mmoja uliopita Davido alinukuliwa akisema ‘Wizkid hanipendi… toka nimeanza kujulikana kimuziki nimekua nalinganishwa au kupambanishwa na Wizkid, kitu watu hawajui sikuwahi kuwa na tatizo nae na tulikua tunakutana backstage na night club na tulikua poa tu‘

Wizkid aliwahi kuhojiwa na mtangazaji huyuhuyu pia akasema Davido anamuonea wivu sababu ya mafaniko yake…. haya yooote yalipita na wawili hawa wakaja kupatana na sasa wako poa na hata waliahidi kutoa single pamoja.

Davido 2
Kwenye Interview ambayo Davido akiongelea kutokupatana kwake na Wizkid

Tukiachana na hayo ya beef kitambo, mpya ni hii baada ya Davido kufanya bonge la show weekend iliyopita huko Congo Brazaville kilichochukua headlines April 4 2016 ni picha ya pamoja ya Wizkid na Davido ambayo ilipostiwa na Davido wakiwa kwenye ndege binafsi na aliandika ‘nimerejea Lagos na kaka yangu Wizkid’

Wizkid Davido

Davido 5

Post ya picha ya Wizkid na Davido kwenye Twitter imekuwa RETWEETED na watu wengi ambao ni zaidi ya 800 mpaka mara ya mwisho naitazama tofauti na post zake nyingine zilizotangulia.

Wizkid naye alipost picha hiyohiyo kwenye page yake ya Instagram na kuandika ‘kileleni… sisi pekee’ ambapo mashabiki wengi wameonekana kufurahishwa na watu hawa ambao walionekana kuwa na uhasama, mashabiki wengine wamelilia ifanyike kolabo yao.

Wizkid

ULIIKOSA VIDEO YA DAVIDO AKIONGELEA BEEF YAKE NA DIAMOND PLATNUMZ? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram naYouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: Africa burudani, davido ayotv, Nigeria, wizkid
Millard Ayo April 4, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Utatamani kujua maamuzi yaliyotangazwa leo Mahakamani kwenye ile kesi ya Mrema na Mbatia
Next Article GoodNEWS: Mchezaji wa Tanzania mwenye dili jipya la kuvalishwa viatu na kampuni ya PUMA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya
Top Stories September 22, 2023
Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani
Top Stories September 22, 2023
Tunisia yamwachilia mchora katuni aliye kamatwa kwa michoro inayomdhihaki waziri mkuu
Top Stories September 22, 2023
Wanafunzi 90 wa shule ya msingi wamelazwa hospitalini baada ya kula keki zenye bangi
Top Stories September 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya

September 22, 2023
Top Stories

Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani

September 22, 2023
Top Stories

Tunisia yamwachilia mchora katuni aliye kamatwa kwa michoro inayomdhihaki waziri mkuu

September 22, 2023
Top Stories

NEMC yatoa siku saba kwa Uongozi wa kiwanda kichotengeneza Wadudu, harufu kali yalalamikiwa

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?