Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Wizara ya Mambo ya Ndani imetangaza maamuzi haya kwa watumishi wake 14
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Wizara ya Mambo ya Ndani imetangaza maamuzi haya kwa watumishi wake 14
Mix

Wizara ya Mambo ya Ndani imetangaza maamuzi haya kwa watumishi wake 14

March 18, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Wizara mbalimbali za Serikali hii ya awamu ya tano zinazidi kuingia kwenye headline, ikiwa ni siku kadhaa zimepita baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga kuagiza idara ya uhamiaji ifanyiwe mabadiliko makubwa ili kuboresha huduma na kuimarisha uadilifu katika vitengo vya idara hiyo nyeti.

Leo March 18 2016 Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Idara ya Uhamiaji imefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa maofisa 14 waandamizi katika Ofisi ya Makao Makuu, Mikoa, Wilaya na Vituo vya mipakani.

Akizungumza mbele ya waandishi wa habari Kaimu Kamishna wa Utawala na Fedha Idara ya Uhamiaji, Abass Mussa Irovya ameleza kuwa hatua hiyo ya kubadilisha vituo ni endelevu na ni kwa maofisa zaidi ya mia mbili. Irovya amesema…>>> ‘Idara ya uhamiaji inaendelea na utaratibu wa kuwabadilisha vituo vya kazi Maofisa zaidi ya mia mbili kutoka sehemu mbalimbali nchini ikiwa ni Agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga‘

#MillardAyoUPDATES Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi idara ya uhamiaji imefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa maofisa waandamizi 14 katika ofisi ya Makao Makuu, Mikoa,.Wilaya na vituo vya mipakani. Hii ikiwa no utekelezaji wa agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga. Stori kamili utaipata kwenye #Amplifaya ya @cloudsfmtz saa 19:00 na mtu wako wa nguvu #millardayo na millardayo.com

A video posted by millard ayo (@millardayo) on Mar 18, 2016 at 12:44am PDT

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard AyokwenyeTwitter,FB,Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAMTWITTERFBYOUTUBE

ULIKOSA KITUKO KILICHOMCHEKESHA RAIS MAGUFULI IKULU JAPOKUWA ALIKUA KAWEKA SURA YA KAZI? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

TAGGED: Tanzania
Millard Ayo March 18, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Pichaz 17: kutoka kwenye usiku wa Birthday ya Linah, Dar.
Next Article Moyes aliharibu zaidi ya rekodi 8 za Man United, Van Gaal kaharibu hii iliyodumu kwa miaka 60
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?