Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hali ya aliyeimba ‘Nitarejea’ na Diamond, waliwahi kuwa mapenzini?
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Hali ya aliyeimba ‘Nitarejea’ na Diamond, waliwahi kuwa mapenzini?
Habari za MastaaMix

Hali ya aliyeimba ‘Nitarejea’ na Diamond, waliwahi kuwa mapenzini?

July 15, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Unamkumbuka Hawa aliyeshirikishwa kwenye wimbo ‘Nitarejea’ wa Daimond Platnumz? Amefunguka na kuelezea namna hali yake ilivyobadilika na jinsi alivyoanza kutumia pombe kali huku akikiri kuwahi kuwa mapenzini Diamond.

Kwenye The Weekend Chart Show ya Clouds TV Hawa amesema mtoto aliyenaye sio wa Diamond bali wa mwanaume mwingine aliyemjua kupitia Maunda Zorro ingawa mama yake mdogo akidai mama mzazi wa Diamond alishawahi kwenda nyumbani kumuona akihisi ni mtoto wa Diamond.

>>>”Diamond nilikuwa natoka naye tumeshaishi kabisa. Sasa hivi sitamani, mapenzi yapo na kuna kuisha japo natamani lakini siyo riziki yangu. Nyimbo zake naziimba lakini siyo kwamba namchukia. Najaribu kumtafuta na WCB napajua nilishaenda nikaambiwa Diamond amesafiri. Nilienda anichangie kadi ya harusi.

“Sijui naumwa kitu gani ila nahisi kutokana na pombe. Sasa hivi sijanywa na kunywa dawa. Pombe ninazokunjwa mimi ni za kienyeji ilimradi kuyumba tu. Kitu kilichonisukuma ni makundi ambayo nakaa nayo na mawazo pia.

“Kunywa gongo sijui nilianzaje lakini wakati nilipokuwa nakaa kwa Maunda katika harakati za kujifunza muziki kwa kuwa nilikuwa napenda muziki. Kule wanakunywa pombe ndio nikaanza  na aliyeninunulia pombe ni baba yake huyu mtoto. Alivyoondoka akaniacha nikawa nimeshazoea pombe.

“Mimi nikabaki na arosto ya kukosa pombe halafu sina hela ikabidi nianze kunywa pombe za bei rahisi lakini pia mapenzi nayo yalichangia sana ya baba yake huyo mtoto sio Diamond.” – Hawa. 

Naye mama mzazi wa Hawa alionesha kusikitishwa na hali ya binti yake akisema alikuwa anamkataza sana lakini hakumsikiliza.

.>>>“Anakunywa gongo huyo. Nilishamkataza sana mwanangu huyo. Kila siku nalia, ninamuomba Mungu usiku silali kuhusu huyu mtoto. Ananitia uchungu sana hata ukituangalia sasa hivi mimi na yeye nani mama? Mimi ni mama lakini mzazi akikuambia kitu usifanye wewe usifanye mwanangu hanielewei.” – Mama mzazi wa Hawa.

Bonyeza Play hapa chini kusikiliza Full Story …

“Naomba Serikali ilegeze kidogo ili mashabiki wangu wafurahi” – Snura

You Might Also Like

Fredy Lowassa akabidhi vifaa vya shule kwa waliofauli 2023

Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

Samsung wafungua duka lao ndani ya Palm village Mikocheni

Hatimaye Miss Tanzania 2020 akabidhiwa zawadi yake

TAGGED: Bongofleva, bongoflevanews
Victor Kileo TZA July 15, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article DONE DEAL: Man City wamemsajili beki wa Spurs kwa rekodi ya Dunia
Next Article Wolper kuhusu wanaodai ana wivu na Harmonize…vipi ana mpenzi mwingine?
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?