Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ZITTO KABWE: Kahoji “Kwa nini Mapato ya Serikali yameporomoka?”
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > ZITTO KABWE: Kahoji “Kwa nini Mapato ya Serikali yameporomoka?”
Top Stories

ZITTO KABWE: Kahoji “Kwa nini Mapato ya Serikali yameporomoka?”

October 7, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Jumamosi October 7, 2017 kupitia kwenye Facebook ya Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameandika kuhusu kuporomoka kwa mapato ya Serikali katika kipindi cha miezi ya July na August akisema yameshuka hadi kufikia chini ya Tsh Bilioni 600.

>>>”Mapato ya Serikali Kwa miezi ya Julai na Agosti yameshuka mpaka chini ya Shilingi 600 bilioni. Ni mporomoko mkubwa Sana na sio jambo la kushangilia hata kidogo. Madhara ya kushuka Kwa mapato ni makubwa kwani Mishahara ya Watumishi wa Umma peke yake ni Shilingi 570 bilioni Kwa Mwezi. Kwanini mapato yanashuka?

“Mzee Harry Kitilya alipata kuniambia mwaka 2013 “Mwenyekiti, TRA inatoza kodi kutoka kwenye shughuli za Biashara zinazozalisha Mapato na sio kutoka kwenye Biashara tu”. Kitilya alikuwa na maana kuwa Kama hakuna shughuli za biashara ( business transactions), huwezi kutoza kodi. Maelezo haya yanaeleza kwanini Mapato ya Serikali yameshuka. Shughuli za Biashara zimeshuka sana nchini na hivyo kupelekea kuporomoka Kwa mapato.

“Kodi inayoingiza mapato mengi Serikalini ni PAYE (kutoka mishahara ya wafanyakazi). Kitabu cha Mapato ya Serikali Kuu cha mwaka 2016/17 kinaonyesha kuwa Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali. Hivi karibuni tumeshuhudia makampuni yakipunguza wafanyakazi na mengine kufungwa. Pia Serikali yenyewe ilipunguza watumishi iliyowaita hewa na wenye vyeti feki. Hivyo eneo kubwa la kodi ya PAYE limeathirika.

“Serikali inapaswa kutazama upya utendaji wake ili kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji. Vinginevyo Serikali itabidi kukopa ili kulipa mishahara.”

BREAKING NEWS: Jukwaa la Katiba kuandaa maandamano nchi nzima

KAGERA! Wananchi wakubali kuharibu mazao yao bila fidia kupisha Mradi

You Might Also Like

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

TAGGED: TZA HABARI, Zitto Kabwe
Millard Ayo October 7, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article KAGERA! Wananchi wakubali kuharibu mazao yao bila fidia kupisha Mradi
Next Article Taifa Stars imepata sare ya sita chini ya kocha Mayanga leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?