Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kilichokwamisha kesi ya mmiliki wa Lucky Vincent Mahakamani leo
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kilichokwamisha kesi ya mmiliki wa Lucky Vincent Mahakamani leo
Top Stories

Kilichokwamisha kesi ya mmiliki wa Lucky Vincent Mahakamani leo

September 28, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Kesi inayomkabili mmiliki wa Shule ya Lucky Vincent, Innocent Mushi na Makamu Mkuu wa Shule hiyo Longino Nkana leo September 28, 2017 imeshindwa kusikilizwa baada ya Hakimu kuutaka upande wa mashtaka kurekebisha hati ya mashtaka.

Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa upande wa utetezi, Method Kimomogolo kuweka pingamizi katika kosa namba moja na namba tatu kwa mshatakiwa wa kwanza ambaye ni mmiliki wa Shule hiyo Innocent Moshi anayetuhumiwa kwa makosa manne huku Makamu Mkuu wa Shule akituhumiwa kwa kosa moja

Makosa hayo ni kuruhusu gari kubeba wanafunzi bila kuwa na kibali, kuruhusi gari kutembea barabarani bila kuwa na bima, kushindwa kuwa na mkataba wa kazi na dereva, kuzidisha abiria 13 kwenye gari lililokuwa limebeba wanafunzi.

Aidha, kosa linalomkabili Makamu Mkuu wa Shule hiyo Longino Mkana ni kuruhusu gari hilo kuzidisha abiria 13.

Hakimu Desdery Kamugisha ametolea uamuzi mapingamizi mawili yaliyotolewa na upande wa Utetezi kuhusu kupinga kosa namba moja na namba tatu na kuwataka kubadilisha hati ya mashataka kutokana na kuwepo kwa mapungufu katika hati hiyo.

Hata hivyo, kesi hiyo imeahirishwa hadi October 6, 2017.

Manusura wa ajali ya basi la Shule ya Lucky Vincent walivyowasili

You Might Also Like

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

TAGGED: Mahakamani, TZA HABARI
Millard Ayo September 28, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article SportPesa imetoa cheti cha heshima wizara ya michezo
Next Article Style aliyotumia Diamond Kumuwish Wema Sepetu kwenye birthday yake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?