Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: UKALI: Mkuu wa Mkoa aagiza Dereva azunguke na Ambulance bila Mgonjwa
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > UKALI: Mkuu wa Mkoa aagiza Dereva azunguke na Ambulance bila Mgonjwa
Top Stories

UKALI: Mkuu wa Mkoa aagiza Dereva azunguke na Ambulance bila Mgonjwa

September 21, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella aliyefanya ziara katika Wilaya ya Ukerewe Mwanza ameagiza vyumba vya upasuaji kwenye hospitali zilizopo wilayani humo vinapokamilika kujengwa vianze kutumika haraka, mara tu vifaa vitakapokuwa vimenunuliwa.

Alieleza kuwa hakuna haja ya kusubiri Mkuu wa Mkoa aje kuzindua vyumba hivyo vya upasuaji, vianze kutumika moja kwa moja ili kuokoa maisha ya kinamama wanaotaka kujifungua.

Pia ameagiza kuwa dereva wa gari ya wagonjwa wa Kata ya Kagunguli ambaye ametelekeza gari hilo na kwenda kusikojulikana atafutwe na akabidhiwe gari hiyo tena ili kuendelea kuliendesha.

Uliikosa hii? HATARI! Ukosefu wa kivuko unavyohatarisha maisha ya wakazi Kagera

Hii je? RC Mwanza alivyoguswa na Mwalimu anayejitolea, aagiza aajiriwe

 

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: AyoTV, habari daily, TZA HABARI
Millard Ayo September 21, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Jaji Mkuu kuhusu wanaotaka wapelelezi wa nje waletwe kuchunguza ishu ya Lissu
Next Article JAMAL MALINZI MAHAKAMANI! Kesi yake bado, yasogezwa mbele
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?