Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Yalivyokuwa mazishi ya Diego Maradona (+picha)
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Yalivyokuwa mazishi ya Diego Maradona (+picha)
Sports

Yalivyokuwa mazishi ya Diego Maradona (+picha)

November 28, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Vyanzo mbalimbali vya habari nchini Argentina vimeripoti kuwa Diego Maradona amezikwa mapema na watu wachache ambao ni wanafamilia na rafiki wa karibu sana na Maradona kwenye makaburi ya Ardin Bella Vista pembeni ya walipozikwa wazazi wake Dalma na Diego.

Mazishi ya gwiji huyo yameongozwa na rais wa nchi hiyo Alberto Fernandez akiwa amevaa jezi ya Argentinos junior ambayo ndiyo timu ya kwanza Maradona kuanza kuichezea, huku mke wa Rais huyo Fabiola Yañez akiwa amevaa vazi la maua wakati wa maziko hayo.

Mamia waliojitokeza kutaka kuhudhuria mazishi hayo hawakuruhusiwa na vyombo vya usalama kutokana na kinachodhaniwa kuwa Maradona huenda alifariki kwa ugonjwa wa Corona hivyo wamefanya jitihada za kukwepa mkusanyiko wa makusudi kujihadhari na ugonjwa huo.

Licha ya mamia hao kuishia kutoa heshima zao za mwisho jana jioni, leo wameendelea kujitokeza kwenye mitaa wakiimba wimbo wa taifa wakiwa wamevaa jezi za maradona kuelekea  Gaza de mayo eneo ambalo walifurahi pamoja na maradona baada ya kubeba kombe la dunia 1986.

MDEE NA WENZAKE WAVULIWA UANACHAMA CHADEMA “WASIJIHUSISHE KWA NAMNA YOYOTE ILE” FREEMAN MBOWE

You Might Also Like

Muuzaji mbolea ajinyakulia pikipiki ya YARA

Dkt. Mpango akasirishwa na alieweka mikono mfukoni wakati wa Wimbo wa Taifa

Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji

Mwili wa msimamizi wa uchaguzi wakutwa porini

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

TAGGED: michezo, TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA November 28, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo November 28, 2020
Next Article Ridhiwani Kikwete aanza na miradi ya maji “nitatoa full support watu wapate maji” (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
Mix August 18, 2022

You Might also Like

Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

August 17, 2022
Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

August 13, 2022
MixTop Stories

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

August 11, 2022
Mix

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?