Rais wa Yanga, Eng. Hersi, leo amechaguliwa kuwa Rais wa chama kipya cha vilabu vyote Afrika (ACA) – African Clubs Association. Na kwa nafasi yake hii anaingia moja kwa moja kwenye CAF Executive Committee. Hapa Rais wa CAF Motsepe akimkaribisha Rais Hersi kutoa hotuba ya shukurani.
Yanga yakamata usukani wa Afrika, Hersi achaguliwa kuwa Rais wa Chama kipya cha vilabu vyote Afrika
Leave a comment
Leave a comment