Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kauli 10 za JPM katika kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kauli 10 za JPM katika kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
Top Stories

Kauli 10 za JPM katika kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

October 14, 2017
Share
1 Min Read
Tanzania's President elect John Pombe Magufuli addresses members of the ruling Chama Cha Mapinduzi Party (CCM) at the party's sub-head office on Lumumba road in Dar es Salaam, October 30, 2015. Tanzania's ruling party candidate, John Magufuli, was declared winner on Thursday of a presidential election, after the national electoral body dismissed opposition complaints about the process and a demand for a recount. The election has been the most hotly contested race in the more than half a century of rule by the Chama Cha Mapinduzi Party, which fielded Magufuli, 56, a minister for public works. REUTERS/Sadi Said
SHARE

Katika Maadhimisho ya Siku ya Nyerere leo October 14, 2017, ikiwa ni kumbukumbu ya miaka 18 tangu kifo cha Baba wa Taifa na Rais wa Kwanza wa Tanzania, Rais John Magufuli amezungumza mambo yafuatayo akiongoza maadhimisho hayo katika Uwanja wa Amani Zanzibar.

"Baba wa Taifa alitamka 'Madini yetu ni vema tukayaacha mpaka Watanzania watakapokuwa na ufahamu wa kutosha wataamua kuyachimba'"@MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Sambamba na hayo Serikali iliweka mkazo kwenye Elimu, ilitoa elimu bure bila ubaguzi kuanzia shule za msingi hadi Chuo Kikuu." @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Mwalimu Nyerere aliamini kuwa kumkomboa mtu mnyonge ni lazima uumpe elimu." – Rais @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Alihimiza watu kufanya kazi kwa bidii kwa kutumia kaulimbiu za Uhuru na kazi, siasa ni kilimo." – Rais @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Pamoja na misingi mizuri iliyowekwa na Baba wa Taifa kupitia Azimio la Arusha, miaka michache ya kung'atuka, tulilitupa." Rais @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Sijui ilitokea kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Mimi sijui ila ukweli ni kwamba, tumelitupa." – Rais @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Baada ya kulitupa tukaanza kuuza Mashirika na Viwanda vyetu." – Rais @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Kwa takwimu tulizo nazo jumla ya viwanda 197 vimekufa na kubaki magofu. Mara nyingi huwa najiuliza ni nani hasa aliyeturoga." @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Kwa nini tuliamua kuuza viwanda vyetu? Ikawaje tukaruhusu Shrika letu likabaki na Ndege moja?" – Rais @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

"Swali ninalojiuliza kila wakati, ni kwa nini tuliliacha Azimio la Arusha wakati maudhui na misingi yake haikuwa mibaya?" – Rais @MagufuliJP

— AyoTV (@ayotv_) October 14, 2017

Ulipitwa na hii? Wakili aliyejitokeza kumuunga RAIS JPM uteuzi Katibu wa Bunge

 

 

 

 

 

 

 

 

You Might Also Like

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

TAGGED: habari daily, serikali ya Tanzania, TZA HABARI
Millard Ayo October 14, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha 20: Muendelezo party ya Prince Dee, Gigy Money na Soudy brown hawakukosa
Next Article BAADA YA MIAKA 7: Tazama shangwe la Alikiba Fiestani Mbeya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?