Ni Septemba 17, 2023 ambapo Young Africans ambapo wakati wakielekea uwanja wa Ndee wa Kimataifa mjini Kigali baada ya kumaliza mtanange wao dhidi ya Al-Merrikh SC na kufanikiwa kuibuka kwa magoli ya 2-0 sasa leo wamefika kwenye kituo cha kumbukumbu cha Kigali Genocide Memorial ambapo walipata wasaa wa kuomboleza na kuwakumbuka wote walioathirika na Mauaji ya Kimbari yaliyotokea mwaka 1994.




