Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 10: Mapokezi ya mwanariadha Felix Simbu aliyemaliza nafasi ya 3 Marathon England
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > PICHA 10: Mapokezi ya mwanariadha Felix Simbu aliyemaliza nafasi ya 3 Marathon England
Sports

PICHA 10: Mapokezi ya mwanariadha Felix Simbu aliyemaliza nafasi ya 3 Marathon England

August 15, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Mtanzania Felix Simbu aliyemaliza nafasi ya tatu katika mbio za marathon nchini England amewasili leo Tanzania akitokea England alipokuwa akishiriki marathon, Simbu amewasili Tanzania na wenzake waliokuwa wameenda kuiwakilisha Tanzania.

Familia ya Felix Simbu ikisubiri kumpokea

Kama utakuwa unakumbuka Felix Simbu akiwa London katika mbio za marathon amemaliza nafasi ya tatu kwa kukimbia saa 2, dakika 9 na sekunde 57 wakati mkenya Godfrey Kirui kamaliza nafasi ya kwanza nafasi ya pili ikienda Ethiopia.

Timu ya riadha ikiongozwa na Simbu wakimkabidhi Waziri Mwakyembe bendera
Felix Simbu akiwa na mtoto wake
Felix Simbu akipokewa na mama yake
Wasanii Khadija Kopa na Riyama Ally katika mapokezi ya Felix Simbu

Alichokiagiza waziri Mwakyembe baada ya kutangazwa matokeo ya Urais na makamu TFF

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA August 15, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari mpya kuhusu Majeruhi watatu ajali ya Arusha
Next Article Tamko la Polisi kuhusu watoto chini ya miaka 10 kupanda Bodaboda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?