Mtanzania Felix Simbu aliyemaliza nafasi ya tatu katika mbio za marathon nchini England amewasili leo Tanzania akitokea England alipokuwa akishiriki marathon, Simbu amewasili Tanzania na wenzake waliokuwa wameenda kuiwakilisha Tanzania.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2017/08/119-950x633.jpg)
Kama utakuwa unakumbuka Felix Simbu akiwa London katika mbio za marathon amemaliza nafasi ya tatu kwa kukimbia saa 2, dakika 9 na sekunde 57 wakati mkenya Godfrey Kirui kamaliza nafasi ya kwanza nafasi ya pili ikienda Ethiopia.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2017/08/84-950x633.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2017/08/47-950x633.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2017/08/310-950x633.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2017/08/216-950x633.jpg)
Alichokiagiza waziri Mwakyembe baada ya kutangazwa matokeo ya Urais na makamu TFF