Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Picha: Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar afika Tanga afunguka haya
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Picha: Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar afika Tanga afunguka haya
Top Stories

Picha: Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar afika Tanga afunguka haya

February 2, 2023
Share
1 Min Read
.
SHARE

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ambae pia ni mlezi wa chama cha mapinduzi Mkoa wa Tanga Mhe. Hemed Sulaiman Abdullah amewataka viongozi wa chama na serikali kuhakikisha wanasimama katika muelekea mmoja wa kupinga vitendo vya ukatili katika maeneo yao.

Mhe Sulaiman Ameyabainisha hayo mkoani Tanga wakati akizungumza na viongozi mbalimbali mkoani humo mara baada ya kuwasili tayari kwa kuanza ziara yake ya siku nne mkoani Tanga ya kukagua miradi ya maendelea na utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Omary Mgumba amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuifungua Tanga kiuchumi kwa kuleta miradi ya kimkakati ikiwemo maboresho ya bandari ya Tanga.

Nae Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga amewataka wakandarasi waliopata dhamana ya kutekeleza miradi mbalimbali mkoani tanga kuhakikisha wanaikamilisha kwa wakati kwa manufaa ya wananchi.

.
.
.
.

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

Edwin TZA February 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ruwasa Manyara kumaliza kero ya Maji
Next Article Mbunge Mpina awaka Bungeni ishu ya mfumuko wa bei (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?