Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Zimbabwe yapitisha mswada wa kuadhibu raia wenye ‘vitendo visivyo vya kizalendo’
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Zimbabwe yapitisha mswada wa kuadhibu raia wenye ‘vitendo visivyo vya kizalendo’
Top Stories

Zimbabwe yapitisha mswada wa kuadhibu raia wenye ‘vitendo visivyo vya kizalendo’

June 1, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Bunge la Zimbabwe limepiga kura kuunga mkono mswada wenye utata wa kuwaadhibu raia kwa “vitendo visivyo vya kizalendo”, ikiwa ni pamoja na kuwatoza faini kubwa au hata adhabu ya kifo huku wakosoaji wakiita siku ya giza kwa demokrasia.

Kipengele kinachojulikana kama uzalendo wa Sheria ya Jinai kinalenga wale wanaodhuru “maslahi ya kitaifa ya Zimbabwe”.

Inajumuisha raia yeyote anayekutana na mwakilishi wa nchi ya kigeni kwa lengo la kuhimiza vikwazo dhidi ya Zimbabwe au kupindua serikali.

Mswada huo unaojulikana kama kifungu cha uzalendo cha Sheria ya Jinai kinalenga wale wanaodhuru “maslahi ya kitaifa ya Zimbabwe”.

Maafisa wengi waandamizi wa serikali na makampuni yanayomilikiwa na serikali wako chini ya vikwazo vya Magharibi kwa madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu,

Kwa muda mrefu wamelaumu upinzani kwa hili na wanataka kusitisha mikutano kati ya upinzani na maafisa wa kigeni.

Bunge lilipiga kura 99 kwa 17 kuunga mkono sheria hiyo – mojawapo ya utata mkubwa wa urais wa Emmerson Mnangagwa.

Mabadiliko hayo yenye utata yalipitishwa kama sehemu ya mfululizo wa marekebisho ya Sheria ya Jinai.

Wabunge pia walipiga kura kuunga mkono hukumu za kima cha chini kwa ubakaji.

You Might Also Like

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023

Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa

Wadau Morogoro wajitokeza kutoa msaada Hanang, RC aipokea

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA June 1, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23
Next Article Tupac Shakur Kupokea tuzo ya ‘Dead Star on Hollywood Walk of Fame’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
Top Stories December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023

You Might also Like

Entertainment

‘Ulivyo muongo, ndivyo mzunguko wako utakuwa mkubwa’ – Burna Boy

December 8, 2023
Entertainment

‘Hii ni sababu ya kwa nini napenda familia zenye wake wengi’ – Teni

December 8, 2023
Entertainment

Rapper Kodak Black, akamatwa baada ya kupatikana na dawa za kulevya aina ya cocaine

December 8, 2023
Entertainment

Daddy Yankee, amestaafu rasmi muziki sasa ‘kuhubiri ulimwengu habari za Yesu’

December 7, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?