Enock Bella ni mwimbaji kutoka band ya Yamoto ambapo mama huyo alifariki jana hospitali wakati akijifungua hukohuko Zanzibar, maziko yamefanyika Zanzbar pia maeneo ya Ufufuma Chwaka jioni ya May 13 2015.
Mazishi ya mama mzazi wa Enock Bella mwimbaji wa Yamoto band. #RIP
Leave a comment
Leave a comment